Uzuri km ni kuwai siti niko siti ya kwanza kabisa mi kashule nlikonako kanatosha ni mume tu ajapatikana😛😛😛😛😛 sjui nianze kuwasaka mwenyewe baby Nebuchadinezzer ashanipotezea, basi njoo Asprin au km umeoa niko tayari kuwa spea kwa Mshana JrKiufupi mwanamke hasomeshwi.
Oa aliyesoma.
Wote maiti tarajiwa kigumu ni ile atujui siku yetu, unaeza ukawa wa kwanza wewe ukamuachaNilimuambia atofautishe majukumu yangu na ya wazazi, walezi kama si ndugu zake....
Kwanza kilishuka kicheko matata, nikaambiwa wapo wakusema hivyo kama siitaki niache tuu... na ukawa mwisho wetu, ila kaja kumaliza chuo anavyonitafuta sasa.
Ndio nawaza hapa huyu maiti mtarajiwa hivi anajua huyo boya aliyempa kampani chuo anawaza nini muda huu.
Ila katika msaada wako huo wa kupeleka shule, kuna some particles za unyanyasaji zilikuwemo, amevumilia mnoo bila kupanda daraja bana, ata km ulisomesha bado alikuwa girlfriend na umri unaenda kwann asifanye yake?Mkuu hapa sijamlaumu mtu.
Na kilichosumbua wakati ule ni yeye kuja kukataa kabisa kuwa tulimtelekeza na kwa uzuri, aliona aibu sana nilivyompostia risit zake za ada
Wengi sana wako wamekalia misumari ila kulazimisha tabasamu usoni as if they are ok kumbe wanaugulia maumivuHapa watajifanya wagumu hawasomeshi ila ukweli ni kuwa wanasomesha sana tu.
Mtusomeshe tu jamani, mengine ni matokeo tu.
Natangaza NIA ni ww tuu,au unapenda kuwa spear tyre?Uzuri km ni kuwai siti niko siti ya kwanza kabisa mi kashule nlikonako kanatosha ni mume tu ajapatikana😛😛😛😛😛 sjui nianze kuwasaka mwenyewe baby Nebuchadinezzer ashanipotezea, basi njoo Asprin au km umeoa niko tayari kuwa spea kwa Mshana Jr
Nikikosa kabisa ata spea ntakuwa ila ukinipenda saivj utafurahi babe😉😉Natangaza NIA ni ww tuu,au unapenda kuwa spear tyre?
Hahahahah ukiona nimetangaza nia ujue tayar hisia zimenivuta,so for further information twende pmNikikosa kabisa ata spea ntakuwa ila ukinipenda saivj utafurahi babe😉😉
Niko pm kitambo adi nishaoga niko nakusubiriHahahahah ukiona nimetangaza nia ujue tayar hisia zimenivuta,so for further information twende pm
😂😂Hapa watajifanya wagumu hawasomeshi ila ukweli ni kuwa wanasomesha sana tu.
Mtusomeshe tu jamani, mengine ni matokeo tu.
Sikuchunguza zaidi, but kulikuwa na uwezekano huyo Baba mwenye hao watoto ndiye aliyemuuzia hiyo nyumba aliyonunua
SafiBaharia Kamtolea mchumba NJEView attachment 1241947