Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Mimi nimeoa lakini niko available. Nakusubiri PM tufanye mchakato wa wizi wa mapenzi
 
Wee jamaa wewe mungu anakuona [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nafanana na baba, ni mfupi nimekomaa komaa flani ivi, miguu ina kigimbi flan amazing, kishundu kipo kimebinuka afu kigumu sitembei pakatikisika kukuaibisha
[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…