Tuliowahi kusomesha Wachumba na hatujawaoa. Tukutane hapa

Kwa kiasi kikubwa bora hata wewe mtoa mada umepata hata mtoto na pia mwanamke ndiyo anayetaka muoane.

Ila kuna hawa wakuda wengine ndiyo tatizo. Tunajadili hivi, wao wanafanya hivi!
Nimecheka sana na hii comment.

Vichwa maji a.k.a vichwa panzi achaa kabisa..
 
Ila mtoto unaye atake asitake so shida ni yanini??
Ila angalie asimbadilishe dini
 
Rudia ulichoandika sasa umesema unamtoto na mwanamke mmoja na huko aliko anaishi na watoto wengine halafu hao watoto ni dini ingine sasa ulitaka nikomentije kwa mfano
I got you.
Thats happened 2007.
My daughter now is in form one, a boarding school.
We are now very good friends
 
Ooh yes! Tulisoma na dada mmoja chuo alivua Pete ya ndoa akiwa second year na akabadili dini akaolewa na jamaa mwingine.
Mumewe wa ndoa alikuwa anakuja na mtoto pale hostel mabibo yule dada hataki hata kuwaona.

Walipo maliza chuo wakazaa motto mmoja ila Sikh moja isiyo na Nina yule second husband alipigwa risasi usiku na watu wasiojulikana dada akabaki mjane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…