Huyo manzi alikupiga hela, shukuru alikuachia ya naulimiaka hiyo nilimsindikiza girlfriend wangu shuleni kwao alikua akisoma boarding huko sanya juu basi nilispend hela nyingi kweli njiani, nilimfikisha shule tukaagana vizuri na hug za kujifichaficha as shule ilikua ni ya masista, basi wakati naondoka alirudi akanipa elfu tano nikamuuliza yanini hakunijibu akaondoka, basi nilirudi nikapanda hiace mpaka boma halafu niende Arusha cha ajabu ni kwamba baada ya kujisearch sikuwa na hela nyingine yeoyote zaidi ya ile 5000 aliyonipa...........
Ulienda kumpigia kampeni jiweNiliwahi kutembea kutoka Mwanza mjini hadi Ukerewe (nilienda kwenye kampeni)
DuuhTime ago baada ya kumaliza advance, nilipitia kipindi frani cha msoto, nikapata kaajira somewhere in mnazi mmoja, mwezi wa Kwanza kwenye hicho kiajira rout ya mnazi mmoja to tbt kimanga, zilikuwa common Sana kwangu.
Ndo hivyo, mnazi mmoja chocho kwa chocho Hadi buguruni, unazuga zuga kidogo, unaingia chocho Kama unaenda vingunguti reli kwa reli Hadi spenco (maji machafu) hadi tabata bima unaingia chocho Hadi magorofa ya ladwa unashusha bonde ukipandisha upo tabata mawenzi, unateleza tu, chocho ndogo hadi kimanga destination.
Hujatulia mkuuWe umetembea hapo tu unaanzisha thread wakati mi nishatembea toka Dar hadi Bagamoyo hadi nikaanza kuhisi harufu ya mishkaki inanukia kumbe ma.pumbu yangu mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"ᴬ ᵍᵒᵒᵈ ᵖˡᵃⁿ ᵛⁱᵒˡᵉⁿᵗˡʸ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵒʷ ⁱˢ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ ᵗʰᵃⁿ ᵃ ᵖᵉʳᶠᵉᶜᵗ ᵖˡᵃⁿ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵉˣᵗ ʷᵉᵉᵏ"
Ndo hivyo, mnazi mmoja chocho kwa chocho Hadi buguruni, unazuga zuga kidogo, unaingia chocho Kama unaenda vingunguti reli kwa reli Hadi spenco (maji machafu) hadi tabata bima unaingia chocho Hadi magorofa ya ladwa unashusha bonde ukipandisha upo tabata mawenzi, unateleza tu, chocho ndogo hadi kimanga destination.
Nimeshapiga sana route za:Wakuu Mimi rekodi zangu nimevunja hapa hapa dar inatokea nishakula nauli kwa hiyo option ya mwisho ikawa Ni kuprint by ngoko.nishatoka kariakoo mpaka segerea kwa mguu,pia route ya ubungo mpaka buguruni Mara kibao tu.ni nyakati tu zinatokea katika maisha.hapa yenyewe Sina hela mfukoni wakuu naona Bora hata nisimwombe mtu nitembee tu Niko mubashara barabarani napiga Hamza kanuni mdogo mdogo kutoka posta mpaka buguruni.tutadata tutanyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya Freebasic? Siyo kila anae ingia jf ananunua bando sisi makapuku tuna support(wa) na freebasicUnanunua bando unaingia jf unapost alafu unasema huna nauli ?
Unataka huruma za watu ama ? Kwa maneno mengine umeomba hela indirect, pambana mkuu , khs kutembea Ni mazoezi
Sent using Jamii Forums mobile app