Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Ilikuwa mara mojatu.
Wakati wakwenda, nili panda DCM kariakoo sokoni nikafanikiwa kumkwepa konda sikulipa nauli.
Hapo naelekea mikocheni maeneo ya ITV kusaka ajira, nikakaa hadi sa6 mchana bila mafanikio njaa iliniumasana nikaamua 150 yangu niile mihogo na kachimbari.
Kurudi nilitembea kutoka mikocheni ITV mbaka uhasibu cota za bandari.
Daaah, thanks GOD for what you did in my life.
Umefanya njia pasipo kuwa na njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wakwenda, nili panda DCM kariakoo sokoni nikafanikiwa kumkwepa konda sikulipa nauli.
Hapo naelekea mikocheni maeneo ya ITV kusaka ajira, nikakaa hadi sa6 mchana bila mafanikio njaa iliniumasana nikaamua 150 yangu niile mihogo na kachimbari.
Kurudi nilitembea kutoka mikocheni ITV mbaka uhasibu cota za bandari.
Daaah, thanks GOD for what you did in my life.
Umefanya njia pasipo kuwa na njia.
Sent using Jamii Forums mobile app