Usile mbususu ya mzee wako
We kula ugali wake tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile apwee
Usikope hela kuanzisha biashara. Aiseee usithubutu mkuu
Endesha mwenyw vinginevyo duuuh, tatizo madereva vichomiNimechukua mkopo wa Bajaj nizingatie Nini ili nitoboe
ASA ni nini?Fanya yote ila usikope ASA
ASA ndio niniFanya yote ila usikope ASA
Hawez kunila kirahisi hiviiiHuyo jamaa ni muhuni
Anakuchekea kumbe anataka kukula kimasihara kaa nae mbali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alikuambia nani, tanzania hii hakuna kinachoshindikana. Mnaishi bongo nyie kweli, bongo unaweza kujenga daraja la milioni 200 kwa bilioni 7, it is possible, muhimu ukae na washika dau wafanye michongo. Endeleeni kukariri maisha, this is bongoland.Hukopesheki
Sasa hutaki na ni mtu ameamua sababu ni mali yake..wabongo tunajua kupangia watu maisha sana. Sijajua kwanini.Acha huu mchezo
Mikopo,mhhhh.Ilikuwa mwaka 2011 mwezi wa 7 mara yangu ya kwanza kuchukua mkopo benki, Tsh 3m. Ule mkopo niliufanyia biashara vizuri na nikarejesha bila changamoto kubwa ndani ya miezi 6. Wale maafisa mikopo wakafurahia na kunishauri nichukue mwingine wa Tsh 5m. Nikafikiria na baada ya mwezi nikachukua mkopo mwingine. Ikawa kama bahati wakati nachukua mkopo nikawa nimepata tenda ya kushona uniform za shule flani. Nikaona hili ni dili zuri na kwa bahati wateja wangu wakanilipa pesa za advance zaidi ya 90%. Kilichofuata nikaamua nitafute mafundi wazuri Nairobi wanishonee uniform zote. HAPA NDO BALAA LILIPOANZA. Niliingia choo cha kike. Mkenya niliyempa kazi kumbe ni mshenzi mno... kadhulumu watu wengi sana. Ni kweli ofisi anayo na mafundi anao ila kwa bahati mbaya huwa hatimizi makubaliano. Ujinga mwingine niliofanya ni kumlipa karibu hela zake zote.
Hadi shule zinafunguliwa Januari sikuwa nimepeleka nguo yoyote kwa mteja. Basi presha ikaanza kutoka kwa mteja wangu ambaye pia alikuwa anawashiwa moto na wanafunzi + wazazi. Baada ya kusumbuana na mzabuni wangu nikaona isiwe ishu nichukue hela za kwenye biashara yangu niliyoombea mkopo wa 5m ili kupambana na tatizo ambalo lilikuwa limefikia pabaya. Kwa maana nitafute fundi mwingine nitengenezee kwake huku nikiendelea kupambana na huyu wa mwanzo. Changamoto iliyojitokeza tena ikawa kwa muda ule wauza uniform wengine wana kazi zingine nyingi na bei zao zimeshaenda juu. Gharama za nauli nenda rudi Ars - Nrb nazo zikawa zinanipiga kama ngoma.
Hadi kuja kufanikiwa kupeleka nguo angalau kwa 70% tayari kiuchumi nilishayumba hivyo marejesho yakawa yanasuasua. Ninachokumbuka ule mkopo niliotakiwa niwe nimemaliza kulipa kabla hata ya August nilimaliza December kwa mafaini kibao huku nikiwa nimefilisika. Wale maafisa mikopo walijua kuniwashia moto.
Pamoja na yote hayo nilijipanga upya na baada ya miaka kama mitatu nilirudi tena benki na kuchukua mkopo. Ninamshukuru Mungu kwamba ninakopesheka na ninaendelea kuchukua mkopo. Somo kubwa ni kwamba usichukue mkopo kuanzisha biashara.
Hili nalo balaa linginee.Na sisi tunaodhamini wakopaji tukutane wapi??????
Kausha damuMimi nilikua afisa wa mikopo kwenye microfinance moja ivi nikaacha nikaingia mtaani kwenye biashara nilichofanyiwa na mikopo sina hamu, alikuja afisa mikopo juzi kunishauri nikakope kwao nimeishia kumtolea panga
Usiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Huo ujinga sifanyiDadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi,hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Eti wamekaukaUsiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Sio utani!
kama sio letshgo sijuiKuna ka benki kamoja mkopo wake hauishi kabisa.
Ukimaliza deni wanakuja tulisahau kukata faida.
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata bima
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata kapacity charge
Ukimaliza wanakuja tena, mahesabu ya kwanza yalikosewa.
Ukimaliza deni huambiwi umemaliza, baada ya miezi mitatu wanakuja tena yaani madeni yake hayaishi.
Jamani mimi sijataja jina la benki yoyote, walio yakuta wanaijua.
Nimeacha kabisa kukopa tena benki.
sio kweliKukopa ni umasikini, na anafaidika ni mkopeshaji
Ah wee huyu nilishajaribu niliambulia kibuti huko pm hatari 🤣🤣🤣🤣🤣Huyo jamaa ni muhuni
Anakuchekea kumbe anataka kukula kimasihara kaa nae mbali
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naka uzuri kikoba hakunaga shida huna hela mwisho wa siku watakata akiba yakoHarus ya broo bwana
Hela ilitumika kwa ishu zingine ambazo hazikukaa sawa...
Nlikopa kikoba