Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Usijengee hela ya mkopo
 
Una hamu ya kulia?maana huo mkopo utalipa wewe na hutakuwa na uwezo wa kulipa, nyumba itauzwa hiyo
 
Ulifanya jambo la kijinga

Usimwekee mtu dhamana.
 
Nyumba itauzwa
 
Eeh kwa hiyo mganga kamloga ili amoende na kafanikiwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio wewe nn ulisimamishwa na majaliwa juz 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…