MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #21
Miradi ya serikali noma sana. Watu ambao walifanya kazi enzi za JK halafu malipo yao yakakutana na uongozi wa JPM walilizwa mno. Kuna jamaa yangu Kigoma alikuwa kashapiga hatua aliishia kufilisika mazima. Ukiwa unafanya project.ya serikali inahitaji umakini.Wanasema mkopo sio zawadi, nimejitoa kwenye mfumo wa kukopa kabisa, nakumbuka nilikuwa na project ndogo ya serikali, nikakopa nikijua payment ingefanya ndani ya wakati ningelipa.. Ohoooo.. ilipigwa delay ya maana sana, nikajikuta nauza gari mbili kwa mpigo na sikuwa nimekaa nazo hata zaidi ya miezi mitatu.. Kuanzia hapo naogopa mikopo kama ukoma na ninashukuru nimetoka kwenye mikopo yenyewe labda mbeleni huko