Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Uza mashamba hayo acha kulialia njaa na umeukalia utajiri[emoji23] tafuta mjini makampuni kibao yanakopesha kwa dhamana ya mali zisizohamishika/vyombo vya moto[emoji23]Wenzetu mikopo mnapataje sie tuna mashamba ya urithi lakini tunaambiwa hatukopesheki