Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Yupo mmoja kibamba ana kausha damu, chupi mkononi, na mwingine na mwingine...jumla laki 7. Basi mtaani wanavyomsemaaaaUsiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Na karibu dhamana zitachukuliwa