Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Naogopa hata kuandika hapa maana ni maimivu makubwa nayopitia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, Maafisa Mkopo wakiona unasuasua wanatafuta mteja wa kumuuzia dhamana yako badala ya kukupa option ya kulegeza maumivu ya deni! Wengi ni wezi tu hawafanya kazi professional! Na huwa wanashirikiana na mameneja wa benki especially ogopa sana hizi benki ambazo hazina majina makubwa!Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Nina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Harus ya broo bwanaHa ha ha hela ya mkopo imetumika kwenye harusi.
Ndoa inaanza na stress za kulipa mkopo.. hata hisia zitakuwepo kweli?
Harus ya broo bwana
Hela ilitumika kwa ishu zingine ambazo hazikukaa sawa...
Nlikopa kikoba
Majukumu yaliingiliana ndugu uzalishaji haukufanyika muda muafaka.Nakuelewa. Ila bado nimecheka sana.
Harusi na madeni wapi na wapi kweli binadamu tunatofautiana
Hakikisha huo mkopo unaweza kuulipia ili akijichanganya unabebe kiwanja mazimaDadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi,hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Acha huu mchezoNa mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma,sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge,Nyumba ipo Dodoma Mjini,thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya,karibuni
Hahaaa Platnum na wao wamefanyaje tena?Taratibu aisee yaani umefanya moyo ulipuke puuuh..!
Yaani hawa platinum credit wataua raia huku....jamani msipende kuchoma mikuki ya moto rohoni yaani ata ni vigumu kuelezea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Wanakula moyo, maini na bandama hukuHahaaa Platnum na wao wamefanyaje tena?
Andika tujifunze mwanawaneNaogopa hata kuandika hapa maana ni maimivu makubwa nayopitia
Huko nako watu wanalia na kitimu kimoja kimechana mkekaDawa ni kubeti tu
Ni jambo linawezekana kabisa 100% hasa kama unataka kuekeza kwenye real estate cyo kila mkopo uendeleze biashara. Kukopa na kujenga kwa ajili ya biashara n nzur pia.Hivi unakopa kabisa pesa ili ukajenge?!
Mkuu kwani si kuna kuna kufunga mikataba ? Mbona kampuni za nje ziki dhurumiwa na Serikali zina ishtaki serikali na serikali inalipa gharama zote, sasa inakuwaje kampuni za wazawa zina shindwa kuishtaki serikali ?Project za serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako