Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Pole sana, Maafisa Mkopo wakiona unasuasua wanatafuta mteja wa kumuuzia dhamana yako badala ya kukupa option ya kulegeza maumivu ya deni! Wengi ni wezi tu hawafanya kazi professional! Na huwa wanashirikiana na mameneja wa benki especially ogopa sana hizi benki ambazo hazina majina makubwa!
 
Na mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma,sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge,Nyumba ipo Dodoma Mjini,thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya,karibuni
Acha huu mchezo
 
Taratibu aisee yaani umefanya moyo ulipuke puuuh..!

Yaani hawa platinum credit wataua raia huku....jamani msipende kuchoma mikuki ya moto rohoni yaani ata ni vigumu kuelezea
Hahaaa Platnum na wao wamefanyaje tena?
 
Aisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Project za serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako
Mkuu kwani si kuna kuna kufunga mikataba ? Mbona kampuni za nje ziki dhurumiwa na Serikali zina ishtaki serikali na serikali inalipa gharama zote, sasa inakuwaje kampuni za wazawa zina shindwa kuishtaki serikali ?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom