Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Aisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Dah ! [emoji2][emoji2][emoji2]Pole mkuu ! Unachukua tu mkopo bila kujua ABC zao zikoje ? Alafu hela ya mkopo unajengea ?
 
Kuna ka benki kamoja mkopo wake hauishi kabisa.
Ukimaliza deni wanakuja tulisahau kukata faida.
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata bima
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata kapacity charge
Ukimaliza wanakuja tena, mahesabu ya kwanza yalikosewa.

Ukimaliza deni huambiwi umemaliza, baada ya miezi mitatu wanakuja tena yaani madeni yake hayaishi.

Jamani mimi sijataja jina la benki yoyote, walio yakuta wanaijua.

Nimeacha kabisa kukopa tena benki.
Hebu kataje tafadhari...tujifunze
 
Kuna kikampuni hapo dodoma kinakopesha kwa dhamana ya kiwanja, chombo cha moto, ama nyumba, muhimu uwe mmiriki halali, watafute hao, uwapige hela, ukishindwa kurudisha wanachukua chako kinakuwa chao, unakuwa kama umeuza mali na kupata pesa...THE DEAL DONE, hivyo ndivyo maharamia tulifanya biashara bila kuhangaika na wateja[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heee naomba no zao
 
Aisee hii mikopo iko nzuri na mibaya, nilishawai kuchukuwa M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
iyo benki gani riba asilimia 60, ata ivyo ulibugi vibaya, unachukua mkopo unajengea. pole
 
Kuna jamaa yangu alikopea nyumba Kama 10m,,,, ! Nyumba yenyewe urithi ! Bank officer alomfanyia mpango alikula Kama lak 4 za fasta, yeye jamaa Ni mtu wa totoz na Bata,,,

Lengo lake ilikuwa afungue biashara, kachezea ile hela Kuja kustuka imebaki 5m. ,, Kafungua biashara Hana uzoefu nayo, mwanzon pale Mambo magumu ,,,huku marejesho,,,ngoma ikamshinda akauza duka akasepa ! Ile nyumba ilitangazwa mnada, ndg zake wanajiweza ndio waliiookoa! Sa hivi pale hasogei, anaishi Kama digidigi,,,ni mtu wa kujificha hapendi kujichanganya,,,

Nyumba imepangishwa,,,ndg walisema mpk hela waloitoa ikirudi ndo apewe !
 
Kuna jamaa yangu alikopea nyumba Kama 10m,,,, ! Nyumba yenyewe urithi ! Bank officer alomfanyia mpango alikula Kama lak 4 za fasta, yeye jamaa Ni mtu wa totoz na Bata,,,

Lengo lake ilikuwa afungue biashara, kachezea ile hela Kuja kustuka imebaki 5m. ,, Kafungua biashara Hana uzoefu nayo, mwanzon pale Mambo magumu ,,,huku marejesho,,,ngoma ikamshinda akauza duka akasepa ! Ile nyumba ilitangazwa mnada, ndg zake wanajiweza ndio waliiookoa! Sa hivi pale hasogei, anaishi Kama digidigi,,,ni mtu wa kujificha hapendi kujichanganya,,,

Nyumba imepangishwa,,,ndg walisema mpk hela waloitoa ikirudi ndo apewe !
Atleast kala totoz. Nyumba kitu gani bwana dunia yenyewe hii tunapita tuu
 
Back
Top Bottom