Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

16697226949955766437993353705978.jpg
 
Kuna jamaa yangu alikopea nyumba Kama 10m,,,, ! Nyumba yenyewe urithi ! Bank officer alomfanyia mpango alikula Kama lak 4 za fasta, yeye jamaa Ni mtu wa totoz na Bata,,,

Lengo lake ilikuwa afungue biashara, kachezea ile hela Kuja kustuka imebaki 5m. ,, Kafungua biashara Hana uzoefu nayo, mwanzon pale Mambo magumu ,,,huku marejesho,,,ngoma ikamshinda akauza duka akasepa ! Ile nyumba ilitangazwa mnada, ndg zake wanajiweza ndio waliiookoa! Sa hivi pale hasogei, anaishi Kama digidigi,,,ni mtu wa kujificha hapendi kujichanganya,,,

Nyumba imepangishwa,,,ndg walisema mpk hela waloitoa ikirudi ndo apewe !
Ndugu zake wanampenda
 
Back
Top Bottom