Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifilisi kabisa
Ila afisa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halafu sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ili marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
 
Bhana eee nilikopa 15m, nikanunua Bati na kulipa fundi hela ikaisha, nikasota miaka 4 kurudisha, nikivyomjinga si nikakopa tana baada ya miaka 4 kuisha huku nikihaidiwa kusaidia kulipa mkopo, mbona na henya mwenyewe!

Cha ajabu Sasa nikakopa tena 3m kutoka kwa ndugu yangu niliyemwambia ntarejesha mwaka ujao kabla ya March ha ha ha ha ..Sina hela na nyumba haijaisha!

nyie haya maisha daah nakonda peke yangu
Aisee mkuu daah
 
Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Hahahah
 
Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Milioni 5.8 kwa mwezi parefu kinyama. Anyway, inategemea na biashara pia.
 
Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkopo wa MGODI voda, nilikopa siku nataka kulipa mtandao ukasumbua. Nikasema itakula kwenu leo kesho yake wakaanza meseji zao Mimi nimetulia tu.

Zikapita siku kadhaa, si Kuna bwege kanipigia kwa namba 100 ananikoromea kisa 3,600. Nilichomjibu akanifungia huduma ya mpesa. Kesho yake naweka elfu 2 bila kujua kumbe kaifunga, nawapigia simu wananiambia nilipigiwa simu nikawajibu vibaya kwa hiyo niende voda shop na kitambulisho.

Nikawaambia laini ninazo nyingi sina huo muda wa mchezo, nikaitoa nikaivunja nikaweka ya tigo.
 
Na mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma,sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge,Nyumba ipo Dodoma Mjini,thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya,karibuni
Kuna kikampuni hapo dodoma kinakopesha kwa dhamana ya kiwanja, chombo cha moto, ama nyumba, muhimu uwe mmiriki halali, watafute hao, uwapige hela, ukishindwa kurudisha wanachukua chako kinakuwa chao, unakuwa kama umeuza mali na kupata pesa...THE DEAL DONE, hivyo ndivyo maharamia tulifanya biashara bila kuhangaika na wateja[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom