Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Miradi ya serikali noma sana. Watu ambao walifanya kazi enzi za JK halafu malipo yao yakakutana na uongozi wa JPM walilizwa mno. Kuna jamaa yangu Kigoma alikuwa kashapiga hatua aliishia kufilisika mazima. Ukiwa unafanya project.ya serikali inahitaji umakini.
 
Project za Serikali ni pasua kichwa sana, shift ya kutoka kwa JK to JPM imefanya makandarasi wengi kuwa maskini. Kukopea hela mradi wa Serikali pasua kichwa, labda uingie ubia na bank katika mradi husika inaweza pona pona yako.
 
Yeah hata Mimi sikulipwa..... Nilianza na JK, JPM hakulipa
 
Na mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma, sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge, Nyumba ipo Dodoma Mjini, thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya, karibuni.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Je tukichukua kuendeleza biashara na si kuanzisha kama uliyosema hii imekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…