Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

😂😂😂Wacha niendelee kupigika na 2000 hizi maana hakuna njia salama apq
 
Mimi nilichukua mkopo wa miezi wa milioni 3 kwa ajili kuweka geti maana niliogopa kuhamia bila geti. Nilikuja kulipa zaidi ya 4.7, kazi kwelikweli. Sikuona shida maana nilipigia hela ya kodi miezi sita nk sawa na hiyo riba. Ila mkopo hapana, yaani makato ni makubwa hatari. Labda kwenye vikoba ndio kuna unafuu.
 
Naomba msaada, nawezaje kukopa na sina biashara lakini nina Nyumba yenye HATI?? Nifanyeje niweze kupata mkopo??
Mkopo ni kwa yule mwenywe biashara tayari ambayo ipo active yaani running business... mkopo kazi yake ni kuboost biashara sio kuanzisha biashara. Ukikopa bila biashara trust me nyumba yako inauzwa mchana kweupe
 
Mkopo wa MGODI voda, nilikopa siku nataka kulipa mtandao ukasumbua. Nikasema itakula kwenu leo kesho yake wakaanza meseji zao Mimi nimetulia tu.

Zikapita siku kadhaa, si Kuna bwege kanipigia kwa namba 100 ananikoromea kisa 3,600. Nilichomjibu akanifungia huduma ya mpesa. Kesho yake naweka elfu 2 bila kujua kumbe kaifunga, nawapigia simu wananiambia nilipigiwa simu nikawajibu vibaya kwa hiyo niende voda shop na kitambulisho.

Nikawaambia laini ninazo nyingi sina huo muda wa mchezo, nikaitoa nikaivunja nikaweka ya tigo.
Hiyo inaharibu profile kwenye database za mkopo Tz
 
Jamani bado natoa mikoponkwa wadada. 110k-510k dhamana chupi yako iwe nyeupe nyeusi au nyekundu
 
Back
Top Bottom