Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
😂😂😂Wacha niendelee kupigika na 2000 hizi maana hakuna njia salama apq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.......ni kuongeza umakini tuSasa kama wanatumia ushirikina tatoboa kwer 😂
Hahahaha nibaki humu tu ama nini😂Hahaha.......ni kuongeza umakini tu
Kabisa Mkuu 🤗Hahahaha nibaki humu tu ama nini😂
Miaka mingapo mkuu Holly Star?Mm nimekoppa 30mil nikajenga nakatwa laki 9 hali yangu naijua mwenyawe
wamama wanashindwa kula kwa rahaKuna mkopo unaitwa c.h.u.p.i mkononi.... wake za watu wanatafunwa sana
KabisaHapo sawa
Wanasema wenye mahitaji halisi wapo Mtaani, na njia rahisi ya kutoa sadaka ni kuwahudumia wahitaji
Bro fanya vitu vyako haya mawazo achana nayoAcha kupotosha umma. Hela za mkopo zifanyie kitu kilichokusudiwa na sio kuingiza mambo ya imani.
Hali hii so salama kwa sisi vijana wenye kukimbiza age go😆Kabisa Mkuu 🤗
Ndiyo maana inawapasa kuwa makini zaidi kulinda wallet zenuHali hii so salama kwa sisi vijana wenye kukimbiza age go😆
🙏🙏🙏Kabisa
Kafanyaje😃Ndiyo maana inawapasa kuwa makini zaidi kulinda wallet zenu
Si mliona alivyofanya yule mchezaji Hakim?
Mkopo ni kwa yule mwenywe biashara tayari ambayo ipo active yaani running business... mkopo kazi yake ni kuboost biashara sio kuanzisha biashara. Ukikopa bila biashara trust me nyumba yako inauzwa mchana kweupeNaomba msaada, nawezaje kukopa na sina biashara lakini nina Nyumba yenye HATI?? Nifanyeje niweze kupata mkopo??
Hiyo inaharibu profile kwenye database za mkopo TzMkopo wa MGODI voda, nilikopa siku nataka kulipa mtandao ukasumbua. Nikasema itakula kwenu leo kesho yake wakaanza meseji zao Mimi nimetulia tu.
Zikapita siku kadhaa, si Kuna bwege kanipigia kwa namba 100 ananikoromea kisa 3,600. Nilichomjibu akanifungia huduma ya mpesa. Kesho yake naweka elfu 2 bila kujua kumbe kaifunga, nawapigia simu wananiambia nilipigiwa simu nikawajibu vibaya kwa hiyo niende voda shop na kitambulisho.
Nikawaambia laini ninazo nyingi sina huo muda wa mchezo, nikaitoa nikaivunja nikaweka ya tigo.
Bora umemwambia. Jamaa anajiona mjanja kumbe anaharibu pakubwa mno.Hiyo inaharibu profile kwenye database za mkopo Tz
Kwann mkuu?Nilichojifunza usijengee pesa ya mkopo
😀😀😀Watakuja wengi na sikukuu hii na Hali ilivyo ngumu.Jamani bado natoa mikoponkwa wadada. 110k-510k dhamana chupi yako iwe nyeupe nyeusi au nyekundu