Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
KashesheHela ya mkopo wanasemaga tuziombee na tuzitolee sadaka hazifai
Yani huwa zinaishaga hujafanya cha maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KashesheHela ya mkopo wanasemaga tuziombee na tuzitolee sadaka hazifai
Yani huwa zinaishaga hujafanya cha maana
I second thisHela ya mkopo wanasemaga tuziombee na tuzitolee sadaka hazifai
Yani huwa zinaishaga hujafanya cha maana
Kuzitolea sadaka hapo ndiyo MtihaniHela ya mkopo wanasemaga tuziombee na tuzitolee sadaka hazifai
Yani huwa zinaishaga hujafanya cha maana
Hahaha.......Kuna Wanawake wanajua kuchuna Mkuu, ukiwa mgeni wa hayo mambo unaweza kujikuta unamjengea nyumba hivi hivi MchepukoMwanamke mwenyewe ni yupi uyo unaemsemea😃
☆Kasheshe
ThanksI second this
Sio lazima hio yote waweza chukua hata moja ukamsaidia mtu au watu kutimiza sehemu ya ndoto zao tayari ni sadaka.Kuzitolea sadaka hapo ndiyo Mtihani
Imagine kwenye milioni 35 niliyokopa nipeleke fungu la 10 church kiasi cha shilingi 3.5M yaani hivi hivi nipeleke hela yote hivyo 🙌
Labda hiyo 1M kutoa Kwa wenye mahitajiSio lazima hio yote waweza chukua hata moja ukamsaidia mtu au watu kutimiza sehemu ya ndoto zao tayari ni sadaka.
Vipi boss,ushatoboa,Pole na hongera kwa mapambanoBhana eee nilikopa 15m, nikanunua Bati na kulipa fundi hela ikaisha, nikasota miaka 4 kurudisha, nilivyo mjinga si nikakopa tena baada ya miaka 4 kuisha huku nikiahidiwa kusaidia kulipa mkopo, mbona na henya mwenyewe!
Cha ajabu Sasa nikakopa tena 3m kutoka kwa ndugu yangu niliyemwambia ntarejesha mwaka ujao kabla ya March ha ha ha ha..Sina hela na nyumba haijaisha!
Nyie haya maisha, daah nakonda peke yangu
Mi sipelekagi kanisani.Labda hiyo 1M kutoa Kwa wenye mahitaji
Lakini kuipeleka Kanisani, Kwa hawa matapeli Kwa jina la manabii/mitume wanaolindwa na Makomandoo ndiyo siwezi hata mara moja
Maisha ni kubetKawaida inatakiwa iwe hivyo, bahati mbaya Kuna wakati biashara zinatusaliti
Ndiyo maana Kuna watu wanauziwa assets zao na Benki ili kufidia Mikopo waliyokopa
Tangu nimefika Dar haya mmbo nayasikiaga tu wala sijaweka mnipe location 😃Hahaha.......Kuna Wanawake wanajua kuchuna Mkuu, ukiwa mgeni wa hayo mambo unaweza kujikuta unamjengea nyumba hivi hivi Mchepuko
Ama anakwambia umpe Mtaji wa fremu kariakoo na unampa 🤗🙌
Hapo sawaMi sipelekagi kanisani.
Kanisani huwa napeleka sadaka ya kawaida.. kuna watu ukiwapa fungu hilo lao utakua umetimiza maombi yao lazima uabrikiwe
Umesema sahihiMaisha ni kubet
Usije ukafanya huo ujinga. Hela ya mkopo fanyia malengo yaliyokusudiwa. Sio ya sadaka hiyo.Kuzitolea sadaka hapo ndiyo Mtihani
Imagine kwenye milioni 35 niliyokopa nipeleke fungu la 10 church kiasi cha shilingi 3.5M yaani hivi hivi nipeleke hela yote hivyo 🙌
Acha kupotosha umma. Hela za mkopo zifanyie kitu kilichokusudiwa na sio kuingiza mambo ya imani.☆
Thanks
Sio lazima hio yote waweza chukua hata moja ukamsaidia mtu au watu kutimiza sehemu ya ndoto zao tayari ni sadaka.
Kwa kweli nimekuwa mzito sana kwenye hilo, ukiangalia watumishi wenyewe wa kuwapa hiyo 10% ya zaka wengi magumashi tuUsije ukafanya huo ujinga. Hela ya mkopo fanyia malengo yaliyokusudiwa. Sio ya sadaka hiyo.
Usiombee ukutane nayo MkuuTangu nimefika Dar haya mmbo nayasikiaga tu wala sijaweka mnipe location 😃
Sasa kama wanatumia ushirikina tatoboa kwer 😂Usiombee ukutane nayo Mkuu
Wenzio wanatumia ushirikina kukuteka akili, unajikuta Kila analotaka unampatia