Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Huu mkopo nausikia tu sana hivi unakuwaje dearUsiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mkopo nausikia tu sana hivi unakuwaje dearUsiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Ndio maana kuna washauri hakuna anayempangia, akiamua kusuka sawa na kunyoa pia ni maamuzi yake. Anachotaka kufanya tulishakiona tulio kwenye sekta hizo, mtu mzima hapangiwi. All the best kwake tutasubiri mrejeshoSasa hutaki na ni mtu ameamua sababu ni mali yake..wabongo tunajua kupangia watu maisha sana. Sijajua kwanini.
Biashara za kukopeshana na serikali Ni Changamoto Sana, mi nilishaacha.Wanasema mkopo sio zawadi, nimejitoa kwenye mfumo wa kukopa kabisa, nakumbuka nilikuwa na project ndogo ya serikali, nikakopa nikijua payment ingefanya ndani ya wakati ningelipa.. Ohoooo.. ilipigwa delay ya maana sana, nikajikuta nauza gari mbili kwa mpigo na sikuwa nimekaa nazo hata zaidi ya miezi mitatu.. Kuanzia hapo naogopa mikopo kama ukoma na ninashukuru nimetoka kwenye mikopo yenyewe labda mbeleni huko
Kila leo wanapita kukunyonya damu🤣🤣🤣🤣🤣Huu mkopo nausikia tu sana hivi unakuwaje dear
[emoji23][emoji23][emoji23]ujue nmecheka utadhani mazuriNina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Pole Sana mkuu,Nina mkopo wa milioni 14 hapa,biashara zinaenda mwendo wa kobe bank wanavyopiga simu soon nitakimbilia Burundi [emoji276]
Hii spray isikie TU kwa mwezanko[emoji22]Afisa mikopo wa .......... Microfinance. Wewe zingua rejesho nije nikuchafulie pande nne za nyumba yakoView attachment 2431017
Njoo ukope tenaNina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Huo mkopo unaanzia laki,utalipa riba ya elfu 30 ndani ya mwezi inatakiwa uwe umemaliza,ukipewa Leo mkopo inatakiwa kulipa elfu nne kuanzia kesho yake Ni mpera mpera mpaka utapomaliza Deni,,,ukichua laki mbili kila siku utalipa efu nane....Sasa imagine hela umepewa Leo kesho uanze marejesho umetafuta hiyo pesa saa ngapi na hata Kama una biashara faida yote unampa yule mkopeshajiHuu mkopo nausikia tu sana hivi unakuwaje dear
MmhKila leo wanapita kukunyonya damu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana DeepMwezi ulopita
Nmekopa mahali pesa ndefu ya riba ya 10% kwa mwez mmoja,Kuna mchongo nlkua nauskilizia nitie pesa ndefu nipate pesa zaid
So sad, lile Dili limekua dirisha
mpk mwezi unaisha, pesa yote niliyokopa sijaifanyia kazi yoyote
Tar 27 mwez Huu Nmelazimika kurejesha pesa ya Watu na riba juu na sijaingiza kitu[emoji22]
Duh bora ingekuwa unalipa zote kwa mweziHuo mkopo unaanzia laki,utalipa riba ya elfu 30 ndani ya mwezi inatakiwa uwe umemaliza,ukipewa Leo mkopo inatakiwa kulipa elfu nne kuanzia kesho yake Ni mpera mpera mpaka utapomaliza Deni,,,ukichua laki mbili kila siku utalipa efu nane....Sasa imagine hela umepewa Leo kesho uanze marejesho umetafuta hiyo pesa saa ngapi na hata Kama una biashara faida yote unampa yule mkopeshaji
Bajaj unaendesha mwenyewe kama ni wewe fresh, je una uzoefu na hiyo biashara? Hapo ukikomaa fresh unarejesha bila tabu ni kama umechukua mkataba tu kwa bosi, jibane jiminye umalize mali iwe yako, kama umemkabidhi mtu utajikuta unatoa hela zako mfukoni.Nimechukua mkopo wa Bajaj nizingatie Nini ili nitoboe
AiseeMichango ya harusi na vijora
Aisee kwa Hawa wamama Ni chap kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23]Pichu mkononi