Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Ahsante SanaDah! Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante SanaDah! Pole sana
[emoji23]ndio maana kuna jamaa hapa JF anajiita mikopo kichefuchefu
Anajua kudai huyo hadi anapigana kuhusu terms za mikopo yao sijawahi kuumuuliza. Ila itakua ndio ile ile kichefuchefu inayozungumziwa hapa.Vipi mikopo yao Mkuu? Kausha damu?
Huu nishatoa akiba zangu naulipa mwezi huu hautoboiiPole sana dada yangu , naamini utatokea muujiza wewe mwenyewe hutaamini .
Ila ukimaliza huu mkopo jitahidi kwa kila hali ukae mbali na mikopo aisee!
Kuna mzee aliniambia niwe nakopa kipindi nikiwa sina shida ya hela. Zangu nizihifadhiEnzi hizo naanza maisha nilikopa Kikoba Cha bimkubwa kama kilo 3 nilipanga nilipige sopu sopu geto langu.
Ebhana we Ile Hela nilit.o.mbea na mitikasi mingine isiyo na akili nilipanga na kibunda.
Niliteseka miezi 3 napaswa nilipe ulie mkopo hatimae niliumaliza
Ulinufundisha sana ule mkopo.
Leo nakopa kwa akili na mipango
Kopa wekeza mradi wenye tija.
Robaert Toru Kiyosaki anasema use other people's money to create your own wealth
Katu situmie my hard earned money kuwekeza natumia Hela za watu[emoji1]
Lipa 500k yao halafu waite mkubaliane kuhusu hizo faini na riba. Kwa sababu ulishalipa riba kadhaa basi wafute, wapunguze au wasiendelee kuongeza na wakupe muda wa kuzilipa. Ongea nao kikakamavu baada ya kulipa 500k yao kwanza.Nafkri na Mimi nifanye hivyo. For real nateseka sana. Yaani kesho niende kuongea nao mkopo usimame wenyewe bila riba. Waki goma hata mahakamn wanifunge tu[emoji24].
Kweli mzee. Utakuta una mzigo wa 20m ndani lakini laki 5 tu chash inaleta wenge.Acha kabisa mkuu,
Mimi nishapunguzahata Kasi ya kuagiza mzigo,
Usipoenda kwa timing
Unajikuta una mzigo mkubwa dukan na wateja hamna na hapo hapo unadaiwa rejesho.
Mwisho wa siku unajikuta unajumlisha mzigo kwa Bei ya hasara ili upate rejesho
Kuna wamama wawili wamekimbia mikopo huko Moshi kuja Dar sababu ya kushindwa marejesho. Wanawinndwa kama swala.
On the otherside of the story: Kwa wakopeshaji, Kuna shost anaishi huko uswahilini kazi yake kukopesha wamama. Sasa kuna muda anaumwa sana ukimuuliza anasema wakopaji wanamloga asahau madeni [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Akaanza kwenda kwa mganga na yeye kujiweka fit, Mwisho ameolewa na mganga siku hizi na biashara yake ya kukopesha anaendelea nayo.
Hayakuhusu
Aisee. Basi ni kukaa nayo mbali.Anajua kudai huyo hadi anapigana kuhusu terms za mikopo yao sijawahi kuumuuliza. Ila itakua ndio ile ile kichefuchefu inayozungumziwa hapa.
Ahsante ndugu. Hapa umenipa pa kuanzia [emoji120]Lipa 500k yao halafu waite mkubaliane kuhusu hizo faini na riba. Kwa sababu ulishalipa riba kadhaa basi wafute, wapunguze au wasiendelee kuongeza na wakupe muda wa kuzilipa. Ongea nao kikakamavu baada ya kulipa 500k yao kwanza.
Haya sasa nawapa kisaMwaka huu pale kongowe amezikwa mfanya biashara wa siku nyingi sana kisa madeni ya benk. Nkitulia ntaleta huu mkasa
Kichwa lazima kipate motoKweli mzee. Utakuta una mzigo wa 20m ndani lakini laki 5 tu chash inaleta wenge.
Inaumiza Sana[emoji22]Haya sasa nawapa kisa
Huyu mzee wa makamo (around 49 au 50 hivi) alikuwa moja ya wenye maduka makubwa sana ya vitu vya ndani jumla na reja reja. Aliwekeza kwenye majengo akawa na nyumba za wapangaji na yake ya kuishi. Kifupi milioni 20 hadi 40 hivi za mzunguko wa biashara tu zilikuwa hakosi bado mishe zingine za kumuingizia hela.
Huku na huku sijui alipata pepo gani lilomtuma aende benk kukopa tumilion kadhaa dhamana zikiwa mali zake iliwemo duka, na nyuma zake zote (hazipungui 3 au 4 hivi).
Baada ya mkopo mambo yakaenda ndivyo sivyo watu wa benk wanataka Chao.
Akawa anakopa watu ili akimbizane na kasi ya bank....
Harakati zote hizi zikagonga mwamba mali zake zikapigwa mnada.
Kukwepa aibu akakimbilia shinyanga akaanza biashara ya kuuza mchele wa reja reja kwa kupewa kamtaji kadogo na mama yake mzazi baada ya kuuza shamba lake huko killage (kijijini).
Muda wote akawa mtu wa mawazo hadi akili zikachanganya akafariki..lakini hadi anafariki anaongelea mali zake na utajiri wake ulioteketea...
Kwa hiyo wandugu mikopo ni mizuri lakini ikikugeuka utaomba poo
Yeah enaseketesha sanaInaumiza Sana[emoji22]
Pigia msitari hio. Sina la kuongezaMkopo huwa unachukuliwa kukuuza biashara.