Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Kuanzia mwaka huu nimeamua kuchukua mkopo wa biashara badala ya kazini. Hapa nina kipengele cha 10m Nmb nimeshafanya marejesho mawili.

Kilichonivutia ni riba yaani nimeona kwenye mkopo wa biashara 10m nalipa 11,300,000/= kwa mwaka. Kwa mwezi 946,000/=. Wakati mkopo wa kazi muda mrefu na riba inakuwa kubwa.

Ninachofanya kazini nimeweka backup kama nitafeli huku basi nitazama kwa mkopo wa kazi kurefund. Lakini piashara ninayofanya ni ya fedha kwa hiyo fedha zote ninazo cash ninachowarudishia ni faida tu. Kinachonipa matumaini ni kuwa kwa vile cash zao zote zipo kama nitaona nafeli nazirudisha, sokomoko itakuwa kama zitaibwa au changamoto zingine unexpected.

Nashukuru Mungu 10m zao zinanipa at least 2.3m monthly profit nawapa rejesho na kuongeza mtaji. Kwa hiyo bado sina neno baya juu ya mkopo cha msingi nipo highly disciplined and very cautious, hata wife ananikubali katika heshima juu ya that why hajasita kuweka saini za mkopo na kuacha hati ya banda letu. Niombeeni nitoboe mwakani nivute 20m[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mwakani uvute nini ?.. hahaa mkuu ushalamba asali
 
Ha ha yan faida unajipangia mwenyewe [emoji3][emoji3]
Hata sisi kabla hatujachukua mkopo tulikuwa na mawazo kama yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nipo industry ya biashara kitambo sana, ninavyoandika hiyo fedha ipo sokoni na imesharejesha mrejesho. Si kwamba nimeanza na hiyo, hizo nilistimulate tu baada ya ujenzi kunipelekesha.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaaa sijui kwanini mhindi kaamua kukopesha akina mama tuu katika kampuni yake. Na anawakopesha kwa vikundi kwahiyo siku ya rejesho ukichelewa tuu kwanza unakula vichambo kutoka kwa wanakikundi wenzio wanaambatana mpaka kwako nyumbani. mbona utalipa tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kina mama ni wepesi sana kuwaingia. Ukiwadanganya kidogo wanajaa.

2. Kina mama wana familia, ni ngumu kukimbia na familia nzima.

3. Kina mama wana madanga kibao, marejesho wanaishia piga mizinga wanapata.

4. Ukimkopesha mwanaume anaweza telekeza familia akasepa na deni.

5. Ni ngumu kumjaza upepo mwanaume akajaa, kwanza unaweza pewa kipigo.

Ukitaka kuiangamiza familia anza kumuingia mwanamke. Yeye atakusaidia kazi nzima na mchoro atakupa.
 
Kuanzia mwaka huu nimeamua kuchukua mkopo wa biashara badala ya kazini. Hapa nina kipengele cha 10m Nmb nimeshafanya marejesho mawili.

Kilichonivutia ni riba yaani nimeona kwenye mkopo wa biashara 10m nalipa 11,300,000/= kwa mwaka. Kwa mwezi 946,000/=. Wakati mkopo wa kazi muda mrefu na riba inakuwa kubwa.

Ninachofanya kazini nimeweka backup kama nitafeli huku basi nitazama kwa mkopo wa kazi kurefund. Lakini piashara ninayofanya ni ya fedha kwa hiyo fedha zote ninazo cash ninachowarudishia ni faida tu. Kinachonipa matumaini ni kuwa kwa vile cash zao zote zipo kama nitaona nafeli nazirudisha, sokomoko itakuwa kama zitaibwa au changamoto zingine unexpected.

Nashukuru Mungu 10m zao zinanipa at least 2.3m monthly profit nawapa rejesho na kuongeza mtaji. Kwa hiyo bado sina neno baya juu ya mkopo cha msingi nipo highly disciplined and very cautious, hata wife ananikubali katika heshima juu ya that why hajasita kuweka saini za mkopo na kuacha hati ya banda letu. Niombeeni nitoboe mwakani nivute 20m[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kila la kheri mkuu

Ukimaliza marejesho nitumie aftatu
 
1. Kina mama ni wepesi sana kuwaingia. Ukiwadanganya kidogo wanajaa.

2. Kina mama wana familia, ni ngumu kukimbia na familia nzima.

3. Kina mama wana madanga kibao, marejesho wanaishia piga mizinga wanapata.

4. Ukimkopesha mwanaume anaweza telekeza familia akasepa na deni.

5. Ni ngumu kumjaza upepo mwanaume akajaa, kwanza unaweza pewa kipigo.

Ukitaka kuiangamiza familia anza kumuingia mwanamke. Yeye atakusaidia kazi nzima na mchoro atakupa.
Kama Eva tu alishawishiwa na nyoka akajaa sembuse hawa wana mama wa siku hizi[emoji3]
 
Mkuu haya mambo yanageka mda wowote.. unaeza handle 20M, upcoming year unachukua 30M.. paa biashara inyumba..
Najua mkuu hata hapo kwa kweli nilichukua kujazia pengo la ujenzi but in reality sio muumini sana wa mikopo, huwa napenda kuwa free sana na pato langu. Kwa hiyo vile najua mtaji unapanda nikimaliza tu narudisha hati nyumbani.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi suala la mikopo Kwa watumishi wa benki likoje?? Na wao hua wakijikopa ndani ya benki wanapelekeshana mputamputa kulipa kama wanavowatoa jasho wenzao??? Mfn meneja wa benki nani anamuwajibisha kulipa Kwa wakati na je akichelewa kulipa inakua imekaaje hyo??? [NAWAZA][emoji848]
 
Hivi suala la mikopo Kwa watumishi wa benki likoje?? Na wao hua wakijikopa ndani ya benki wanapelekeshana mputamputa kulipa kama wanavowatoa jasho wenzao??? Mfn meneja wa benki nani anamuwajibisha kulipa Kwa wakati na je akichelewa kulipa inakua imekaaje hyo??? [NAWAZA][emoji848]
Nahisi watakua Wana kwatwa kwenye monthly salary
 
mazaa alikua akichukua mikopo kwa wale SEDA.. asee mambo yakaenda kombo akawa anawatoroka maana anajua siku zao za doria..

Wakaja kwa kushtukiza kwetu ni badland kule gari unaacha road upite chocho kadhaa ndo ufike..

Braza alikua anajua ile gari ya alivyoiona chap mbiombio akaja kumshtua maza, chap akazama uvunguni..

Wakafika cha kwanza..mama yuko wapi ? Braza kwaambia amesafiri kuna msiba kijjini alikua anajibu kwa wasiwasi..

Mmoja wao akanichukua nlikua ndo niko Darasa la kwanza haoo hadi dukani...Mangi mpe mtoto mzuri biskuti ilikia zile za choclate 500/=nakumbuka..

Woii nikachoma maza yupo uvunguni kule.. 😂😂😂 wakaenda kumchomoa, hela hamna wakasomba mazaga hapo sebleni

Ile kipigo nlipata walivyoondoka biskuti ilitokea puani...
Hahahahahahha pole sana. SEDA pale Sanawari?
 
Kuanzia mwaka huu nimeamua kuchukua mkopo wa biashara badala ya kazini. Hapa nina kipengele cha 10m Nmb nimeshafanya marejesho mawili.

Kilichonivutia ni riba yaani nimeona kwenye mkopo wa biashara 10m nalipa 11,300,000/= kwa mwaka. Kwa mwezi 946,000/=. Wakati mkopo wa kazi muda mrefu na riba inakuwa kubwa.

Ninachofanya kazini nimeweka backup kama nitafeli huku basi nitazama kwa mkopo wa kazi kurefund. Lakini piashara ninayofanya ni ya fedha kwa hiyo fedha zote ninazo cash ninachowarudishia ni faida tu. Kinachonipa matumaini ni kuwa kwa vile cash zao zote zipo kama nitaona nafeli nazirudisha, sokomoko itakuwa kama zitaibwa au changamoto zingine unexpected.

Nashukuru Mungu 10m zao zinanipa at least 2.3m monthly profit nawapa rejesho na kuongeza mtaji. Kwa hiyo bado sina neno baya juu ya mkopo cha msingi nipo highly disciplined and very cautious, hata wife ananikubali katika heshima juu ya that why hajasita kuweka saini za mkopo na kuacha hati ya banda letu. Niombeeni nitoboe mwakani nivute 20m[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hongera sana. Moja ya positive comments kwenye huu uzi. Huu uzi una uhaba mkubwa wa comments kama yako. Serikali iingilie kati 😄
 
1. Kina mama ni wepesi sana kuwaingia. Ukiwadanganya kidogo wanajaa.

2. Kina mama wana familia, ni ngumu kukimbia na familia nzima.

3. Kina mama wana madanga kibao, marejesho wanaishia piga mizinga wanapata.

4. Ukimkopesha mwanaume anaweza telekeza familia akasepa na deni.

5. Ni ngumu kumjaza upepo mwanaume akajaa, kwanza unaweza pewa kipigo.

Ukitaka kuiangamiza familia anza kumuingia mwanamke. Yeye atakusaidia kazi nzima na mchoro atakupa.
Point namba 5 nimecheka sana. Ukweli mtupu
 
3e58c2e50ab0410ebaaffaa8dda42f9f.jpg
 
Back
Top Bottom