Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Mwaka 2021 alikuja dada mmoja Afisa mikopo Ofisni kwangu kutokea microfinance moja ambayo kwa sasa inajitanua kuwa benki.

Akaweka ngonjera zake na kuniachia kipeperushi cha mikopo, nilikisoma lakini sikuona kipengele cha Kukupua mkopo, nikamuuliza endapo nimekopa pesa na nikahitaji kuirudisha yote inakuwaje ?

Dada alinijibu haina shida, ofisi yetu inapenda wateja wa hivyo, tunakata riba ya miezi ya mbele na makato yaliyotangulia then unarejesha.

Nikachukua 20 M nirudishe 26 M kwa mwaka mmoja na mwezi 1, na marejesho yalikuwa 2M @ Month. nikaichukua ile pesa nikaiweka kwenye biashara, Mungu saidia ndani ya miezi 4 nlikuwa na profit nzuri na biashara zilikuwa zimeenda poa. Nkampigia yule dada kuwa nataka kurejesha pesa yao akaniambia niende ofsin kwao nipigiwe hesabu

 Sitosahau
kwa ahadi zake nlitarajia akitoa riba kama alivyoeleza na hiyo 8M nliokuwa nimerejesha nkajua ntalipa kwenye 14 M niachane nao cha kushangaza niliambiwa nipande gorofani kwa mpiga hesabu akanipigia ananiambia natakiwa kulipa 32 M ikiwa ni pamoja na faini ya kuvunja mkataba, niliishiwa pozi.

Nilichoamua niliweka pesa 18 M iliyosalia kwenye account yao waliyokuwa wanakata dhen nkaachana nao.

Lesson learn
1. Bank wakishakupata kwenye track yao hawapendi utoke kwenye huo mfumo, maana ndio eneo wanalopata faida zaidi. Ndio maana ukimaliza mkopo wa 1M unaambiwa chukua 3M unapandishwa taratibu ili ufit kwenye mfumo

2. Nimejifunza nowdays kukua taratibu bila haraka inaniepusha kukimbilia mikopo kama suruhishi rahisi.

3. Nimetenegeneza utaratibu wangu wa kuweka akiba binafsi na ninapokuwa na shida najikopa mwenyew (hii alinifundisha mfanya biashara wa kigeni niliyefanya nae biashara) na naweka nidhamu ya kuirudisha as if nilikopwa

Nihayo tu
 
Aisee hii mikopo iko mizuri na mibaya, nilishawahi kuchukua M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
aiseeee😂😂😂😂
 
Wee kuuza unadhani hizo nyanya kwamba inatoka kirahisi watu wakisikia unauza wanataka kukulalia tuu.
Mkopo ukienda wanasema oh una biashara gani mambo mengi. Sasa unajiuliza nina shamba la million 100 nataka nikope milion 50 kweli nitacha shamba la million mia kwa million hamsin.

Anyways wacha niendelee kutamani tako la mama wa kambo tuu hapa.
Mkopo NI wa biashara hakuna mkopo Kama huo unataka wewe...he Kama unawauzia mgogoro...shamba la uridhi hata mkigawana we hauzidi 30%...
 
Usiombe uchukue mkopo wa KAUSHA DAMU...wanakupa leo kesho unaanza marejesho mfululizo mpaka utapomaliza kina mama wamekauka huko mitaani sio poa
Niliwahi chukua huo nilichoka mzee inakuwa active 24/7 mboo haisimami...m1kila siku elfu 40
 
Ni jambo linawezekana kabisa 100% hasa kama unataka kuekeza kwenye real estate cyo kila mkopo uendeleze biashara. Kukopa na kujenga kwa ajili ya biashara n nzur pia.
Huwei toboa huo mkopo watakupa mkubwa kiasi gani...labda uchukue kumalizia ujenzi
 
Kuna mazingira flan tunaishi hata mikopo ya bia haifai...
 
Nawakumbusha warembo wa jf. Natoa mkopo 110k - 510k. Dhamana ni chupi yako iwe nyeupe red au nyeusi.
Ukileta na butterfly bra basi marejesho yatakuwa 90% ya kile ulichokopa
 
Back
Top Bottom