Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

Dah we jamaa uliuwa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Legendary
 
We jamaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Read my signature below [emoji116]

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Nimecheka balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujaeleweka
 
out of points

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja nilikua nachat na demu flan tufanye anaitwa vv, nikampanga akatiki kuja night. Sasa nikawa namtext jamaa angu kwamba "Vv anajiletaleta na usiku anakuja gheto nipige". Sms nikaituma kwa vv bahati mbaya.

Nikatoa betri, kuja kurudisha naona delivery report sms ishaenda. Nikamtumia text nyingine kwamba hiyo sms nimetumiwa kutoka namba flan nikamtumia na linamba la uongo halipatikani kwamba ndo lilinitumia hiyo sms nikaamua kuifowad kwake labda angeielewa. Demu alibishabisha but alikuja kurudi kingi japo sio kipind hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp wewe mara yko ya Kwanza mama yako KUKUPA gemu ulijisikiaje?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020


Mi sijawahi mtongoza Mama wangu kwani ninajuwa mipaka yangu, wewe umemtongoza maza kusingizia umekosea kumbe ndiyo ilikuwa nia yako kumpima, wanawake wote hawa huwaoni mpaka maza wako jamani?
 
Daah nimekumbuka niliwah kumtumia sms father kimakosa..Ilikua sms maalumu kwa ini mkalia nyongo wangu.
Laaulah ikatua kwa father,,ilibidi nichune kimyaaa ,,kila nikimuona father nazuga tu..Wala hatukuulizana ,,Aibu tupu
 
Hahahahaha..
"Ngono zitakuua baba"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mzee unamfuatilia Elijah mohammad?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…