Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kiboko khaaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah hiv ulikuwa unawaza nn?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dem mpya alikuja kitaa. Kumbe ni kwangu ndio namuona mpya sababu sikua mwenyeji wa ule mtaa, katika dodosa dodosa nikajikuta naambiwa demu yule kitaa kizima wamemshindwa. Siku moja nikajitoa ufaham nikamuomba namba barabarani kumbe wana wanatucheki tu. Nafika kijiweni wadau wakaniambia picha lote wameliona na sitofanikiwa kwani wanamjua alivyo mgumu. SIKU DEM ANAUJA GHETO NDIO NILIPOUNGUZA PICHA KWANI KWA KUTAKA SIFA NILIWATUMIA WAHUNI SMS KIJIWENI KUA LEO NAMALIZA KAZI ILIOWASHINDA NYIE . HUEZI AMINI SMS NILIMTUMIA MHUSIKA AMBAYE NI DEMU MWENYEWE.NILIKULA SIKU HIO HIO ILA SIKUA NA UJASIRI KABISA KINYONGE SANA
 
Nilikuwa nampenda sanaa demu flanii nikawa nachat nae sasa ghafla akanitafuta demu mwingine yeye simpendi ila yeye ananipendaa wee kwenye kuchat bhana ikapoop up msg ya yule ninayempenda sasa ubaya wakati namjibu nikakosea nikaandika mwisho jina la demu nisiyempendaa alafu msg tamuu balaaa wee ile kubonyeza ikaendaaa mamaeee siji kusahau... niliumia balaaa😀😀😀 demu akawa ninampenda akazingua japo aliumia sana. Toka siku hiyo msg nafunua ndo najibu huwa sijibu pale kwenye screen inapo poop up NEVER.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…