wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Dah mnanikumbusha Keko ya machungwa kwao matumla niliponea papatu papatu ila Mungu ni mwema miguu yangu haijawahi nisaliti hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini pole Sana Sai ndo mitaa ya home hiyo so walikukuta Sae?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Pole sana Sana Mzee Mungu alikusaidia mm nakumbuka nilikuwa nabeba hela za kazi mikononi Tu natoka nazo bank Mwanjelwa hakika Mungu alikuwa upande wangu Zama hizohapo ndio sae sijui ila ilipo mfikemo hotel huwa nalala sana, aissee hilo tukio linafanya nione umuhimu wa kusali na kuimani katik ulinzi wa MUNGU
na hapo hotel one day nimelala, aise saa nane za usiku kitasa kinanyongwa nahisi yalikuwa mauza uza sitaki kulala , naona kwa mbeya nilale kule mjini somberelo hotel bei cheap ilehapo ndio sae sijui ila ilipo mfikemo hotel huwa nalala sana, aissee hilo tukio linafanya nione umuhimu wa kusali na kuimani katik ulinzi wa MUNGU
ulinzi wa MUNGU ni zaidi ya yote , soma zaburi, tukio langu MUNGU hakupenda nife , sababu siku nzima sina fahamu sasa ningejiteteajePole sana Sana Mzee Mungu alikusaidia mm nakumbuka nilikuwa nabeba hela za kazi mikononi Tu natoka nazo bank Mwanjelwa hakika Mungu alikuwa upande wangu Zama hizo
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Somberelo mkuu kumepoa Sana kule saivi hakuna matukioa tena pale Sae mm uwa naenda sana Mfikemo narudi vizuri kabisana hapo hotel one day nimelala, aise saa nane za usiku kitasa kinanyongwa nahisi yalikuwa mauza uza sitaki kulala , naona kwa mbeya nilale kule mjini somberelo hotel bei cheap ile
Pole sanadah huu uzi umenikumbusha tukio gumu saana maishani mwangu , ni 2016, tarehe saba 7/8/2016, nimetoka zangu bank ilikuwa nmb mwanjelwa nimechukua zangu kama milion moja narudi zangu njombe, by that time nina smartphone nokia , nimependa zangu daladala nitoke nje ya hapo nitafte mahali pa kulala., likaja wazo nikalale sai nikashuka ilipo mfikemo hotel kwa sasa , ili nivuke barabara wakaja jamaa wawili wakaniambia kwa upole usivuke tupe hizo pesa, ukipiga kelele tunakua , dah wakaniambia twende huku ukibisha tunakuua wanaonyesha pisto wakanitaka nifuate uchochoro aisee sikumbuki walinipiga na nini nilopoteza fahamu hadi 8, nipo rufaaa wananiambia umepigwa na nondo na umeletwa na wasamaria wema , mzee sina hata mia wala simu ,namshukuru sana dada moja nurse alinisaidia sana na she my sister hadi leo, ila wale jamaa,lile tukio limeniacha na tatizo hadi leo pua zangu hazinusi kabisa labda harufu ya bangi ndio naipatta nikipita kw wala ganja huwa najua nje ya hapo dah sinusi, niliambiwa kuna matibabu ya tatizo la pua nafuatilia nijaribu kutibiwa
kumepoa ndio maana nakupenda, huwa sipendi sehemu ya watu wengiSomberelo mkuu kumepoa Sana kule saivi hakuna matukioa tena pale Sae mm uwa naenda sana Mfikemo narudi vizuri kabisa
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
nilishapoa , huwa naamini Mimi MUNGU ananijua tangia nikiwa tumboni mwa mama hadi hatma yangu , i fear nothing but GOd himselfPole sana
haikuwa hivyo jamaa walikuwa wa2 walivunja mlango wakaiba kabla hawajatoka mwamba akaingia ni mzungu mwenzao ila ni mbavu akawataiti akawageuza wake zake fira sana kama siku tano akawaachia alipoulizwa na waandishi wa habari akasema wap walivunja mlango wangu na mimi nimevunja milango yao ya nyuma...nenda insta search je wajua utamuona ni post ya nyuma kidgo..Kiboko ni USA...Jamaa 2 walivamia Kwa Jambazi sugu na Baunsa. Black America. Aka wamudu wezi. Afu akawageuza mademu zake. Ali wafi.ra kwa zamu siku 2.
We bhangi kwa kweliMimi nakumbuka miaka ya nyuma nimemaliza kidato cha sita, nimetoka kwenye mishe zangu usiku saa tisa, halafu napita eneo la makaburini. Ghafla kwa mbali nikawa nasikia harufu ya moshi wa sigara mchanganyiko na bangi, kucheki naona kundi la watu wanapuliza wamekaa juu ya makaburi. Kipindi hicho watu walikuwa wanapigwa sana na nondo, na wiki kadhaa nyuma kuna jirani yetu aliuawawa. Kurudi nilikotoka njia ni ndefu mno, na kwenda mbele lazima yale manjemba yangenifanya kitu mbaya.
Ile akili sijui hata ilitoka wapi, sijui ni mihadarati. Nilichofanya ni kuvua nguo zote na kuzishika kwa nyuma halafu nikaanza kuelekea usawa wao, niko uchi wa mnyama. Uzuri kulikuwa na mbalamwezi. Jamaa walivyoniona wakaanza kuuliza kwa mbali, wee nani. Mimi kimya nasonga mbele tu, ile kunisogelea na marungu yao na kuniona vizuri kuwa niko uchi, jamaa walipigwa na ganzi. Kilichofuata ni kutukana na kuanza kukimbia vibaya mno kila mtu njia yake.
Kila nikikumbuka huwa najionea sana huruma na kuwaza endapo kama yale manjemba yasingekimbia.
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.......
Nilimshuhudia mwizi akichomwa motoNakumbuka ilikuwa 2013, bana wee sitaka nisahau maishani mwangu.
Nakumbuka nilipiga kazi kwenye biashara yangu, nikajikusanyia pesa nzuri tu sio chini ya million 2, ghetto nilipapendezesha vizuri sana.
Chumba changu kilikuwa pembezoni na mto Arusha eneo nililopewa na wazazi wangu pamezungukwa na miti na migomba mingi sana, kuna msitu mmoja mzuri sana kama ulaya vile.
Sasa kipindi hicho nilikuwa nimenunua bonge la speaker, daily nilikuwa nakula reggae na nyimbo za hiphop za chuga, nilikuwa na computer ya dell desktop, kipindi hicho ukiwa na computer mtaa mzima unakuheshimu.
Ilikuwa majira ya saa 9 usiku, nikiwa nimelala gheto, ghafla nikasikia mlango umepigwa jiwe fatuma kwa watu wanaojua jiwe fatuma ni nini watakuambia, walikuwa kama 7 hivi wameshika marungu na mapanga wengine wananimulika na torch machoni yani kama movie vile..
Jamaa wakaniambia toa ulichonacho, nikawaambia sina chochote zaidi ya hivi vitu vya gheto, hakuna!! toa pesa ulizonazo mara mabapa ya mgongo kwa sana, nikawaambia sina pesa, kuna jamaa akawaambia huyu mpaka akatwe ndo atoe pesa, daah jamaa akanikata na panga mgongoni, nikaona niwape hela zao waondoke.
Jamaa wakanipa kichapo cha maana, wakabeba computer, nguo, viatu vyote, speaker na pesa zote nilizosave wakaondoka zao.
Nilichojifunza, simuonei mwizi huruma nikishajua ameiba kweli, yani atakula vitofali mpaka ajute kwanini kaiba..
Hayo ni yangu yalionikuta enzi hizo je nyie kiliwakuta kipi, nakaribisha mchango wenu kwenye huu uzi.
ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD..
APPROXIMATELY ONCE AGAIN..
,
Bado upo Arusha Dada Betty?pole sanaPole sana .Mimi mitaa hiyo ya ungalimited miaka ya 2010 siku ya jumapili nikaamua kwenda kusali kanisa Moja huko unga limited .Wakati huo naishi sinoni karibu na faya na ni mgeni Arusha Nina miezi kadhaa Wala sijui mitaa ya unga limited ni nuksi.Sasa nikaondoka na jirani yangu mida kama saa tatu hivi tuende taratinu kwa miguu ,kipindi hicho simu aina ya blackberry ilikiwa hot sana nikaibeba jirani akaniambia iache nikamsikiliza, nikachukia kisimu changu Cha tochi nikahamishia line yangu tukaenda tukafila kanisani salama.Muda wa kurudi kumbuka mm nilikuwa bachelor nikanunua nyama robo nikabakiwa na chenji kama 3000 tukawa tunarudi na kihand bag changu nimetia kile kisimu Cha tochi na vile vichange.Sasa tunaongoza njia tukafika kwenye kidaraja kama Cha machuma hivi unga limited na Kuna migomba mingi mingi pembezoni tukaona vijana wakubwa tu wanaogelea mtoni yaani wako watupu kama nyani ikabidi tushangae .Mida hiyo ni kama saa saba mchana na jua linawaka .Ghafla tukamwona kijana mmoja yupo smart kiaina anakija mbele yetu huku anatabasamu,basi mm Nikajua anamjua yule nilikuwa naye kumbe na yeye anajuwa yule kijana ananijuwa mm tukawa tunazidi kukaribiana nae .Alitufikia akasalimia vizuri tu tukaitikia akaniambia sisteri naomba handbag Yako nikamjibu kimzaha kaka kirahisi hivyo?Akasema unataka mpaka udhurike ndo utoe ?Nikabaki nashangaa.Yule mwenzangu kumbe ashastukia tumevamiwa akaniambia mpe haraka huku amepaniki hatari basi Nikabaki sielewi nn kinaendelea.Ghafla yule kijana akatoa sime,sijui panga refu hatari kwenye mfuko wa suruali Sasa hapo ndo sijui suruali ilikiwa imechanwa mifukoni au lilikaaje mfukoni ,Sasa na lile jua la mchana lile panga lilikuwa linametameta kwa namna lilivyonolewa.Hapo akili fasta ikanijia nikamwambia kaka ulisema unataka handbag hii hapa nikampa mwenyewe fasta,akapokea Wala hakukimbia akufungua akaniuliza sista na kupendeza kote ndo una simu kama hii? Nikamjibu maisha kaka basi akachukua simu akanirudishia line akachukua zile hela akanirudishia funguo zangu huyo akashukia kule mtoni taratibu.Tuliondoka kimya kimya mpaka tunafika hakuna anayeuliza mwingine nn kimetokea.Yaan ungalimited sitak hata kupasikia.
Mshukuru sana Mungu mkuu, jamaa wangewamaliza siku hiyo.Nakumbuka katika ukuaji mitaa ya temeke ulikuwa 2002,tulienda bich flani mitaa ya kigamboni inaitwa mikadi tukaleta utemeke wetu tukapola jamaa flani walikuwa wawili na mademu zao,saura Kila kitu mida Kama ya saa mbili usiku,kumbe pamtoni haifanyi kazi kuazia midaa ya saa tatu na kuendelea,likaja wazo la kurudia hii ya kongowe kumbe Kuna jamaa mmoja kati ya wale wawili tulio wapola aliamua kutufuatilia akiwa na kampani ya wahuni wake kma 25 hivi,wakaja kutubananisha maeneo ya mjimwema wakiwa na mabomu yautambi sijui na majambia Kama yote,bahati ilikuwa kwetu ikawa difenda ya polisi inapita iko kwenye patrol midaa ya saa Tano usiku tukaona hapa msaada huo hapo,tukaaza kurusha mawe kwa polisi jamaa wakaruka kwenye gari kuaza kupiga risasi hewani wote tukamwagika bila hivyo sijui ingekuje kwa wale jamaa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe jirani yako alikuwa wa jinsia ipi 😀Kipindi kile cha zamani magari yalipokuwa yanatekwaga na majambazi,walikuwa wanawaambia wasafiri wavue nguo zao zote,alafu mgeukie uliyekaa nae karibu awe mwanaume au mwanamke,muingilie,seat ya nyuma kulikuwa na lishoga liliposikia hivyo likavua nguo zake haraka,lishoga likasema jamani nishavua nguo zangu aliyetahari aje kuniingilia huku likiwa limefurama...