Tuliowahi Kuvimbiwa kwenye sherehe..Tufarijiane jamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 



😂😂😂😂😂😂had nimetokwa tears😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 


😂😂😂😂😂😂huenda ana vitako km chips😂😂😂
 
Tulipigwa mzee hata hivyo nliwaambia msiweke harusi siku ya game ya liverpool hawakuelewa hafu harusi yenyewe ikaangukia fainali tukalambwa na madrid [emoji1][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi huwa sili kwenye sherehe kabisa, moja siwezi mambo yakuunga foleni ili nile wakati chakula nimeacha nyumbani.
 
Tunazungumzia way back,utoton hukooo
Mimi huwa sili kwenye sherehe kabisa, moja siwezi mambo yakuunga foleni ili nile wakati chakula nimeacha nyumbani.
 
Duuh jaman una good manner honhera dada,mwenzio nlkua mpole tatzo home hakukuwa na hutwu twumisosi sosi[emoji23]
Namimi nimejibu vyema, nipo hivi toka utotoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…