Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Sheria imewekwa ili ivunjwe.

Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test![emoji4]

Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na tayari kwa matumizi!!
Bwana wee! Nikapanga ratiba zangu vizuri ili baada ya kumaliza kazi zote niende sehemu TULIVU nivute sasa! (nilijuwa naweza kutokewa na lolote ndiyo maana nikajipanga)

Jioni nikaenda zangu mlimani nikiwa na msokoto wangu mfukoni pamoja na kiberiti.. Nilivuta ile kitu mpaka ikaisha kabisaa, nami nikatulia kusubiri matokeo!!

Nilikaa pale kama dak 10 bila kuhisi chochote wala hakuna kilichotokea.

Nikahisi labda nimeitengeneza vibaya, nikaenda kufanya udadisi huko mtaani japo sikusema lengo..

Nilipewa somo na nikalifanyia kazi sikuona utofauti wowote na mwanzo!

Mwaka 2016, nikakutana na bosi flani mwanachama mzuri tu nikamwambia namimi natumia hiyo kitu(ktk stori za hapa na pale) jamaa hakuwa mchoyo!!

Aah nikakata tamaa nikasema bangi ni UTAPELI bora unywe konyagi
Kwa experience ndogo na mashaka na ww "Kwa ufupi hujawah kujilipua.

10 min usihic chochote sound like ulijilpua na majani ya chai ukidhani na mjani otherwise ujui mziki wake ikiwa it's ya 1st time
 
Kwa experience ndogo na mashaka na ww "Kwa ufupi hujawah kujilipua.

10 min usihic chochote sound like ulijilpua na majani ya chai ukidhani na mjani otherwise ujui mziki wake ikiwa it's ya 1st time
1st time - 4th time yalikuwa majani?? Kama wewe ilikularua ni wewe. Kwa upande wangu bangi si lolote
 
Sheria imewekwa ili ivunjwe.

Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test![emoji4]

Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na tayari kwa matumizi!!
Bwana wee! Nikapanga ratiba zangu vizuri ili baada ya kumaliza kazi zote niende sehemu TULIVU nivute sasa! (nilijuwa naweza kutokewa na lolote ndiyo maana nikajipanga)

Jioni nikaenda zangu mlimani nikiwa na msokoto wangu mfukoni pamoja na kiberiti.. Nilivuta ile kitu mpaka ikaisha kabisaa, nami nikatulia kusubiri matokeo!!

Nilikaa pale kama dak 10 bila kuhisi chochote wala hakuna kilichotokea.

Nikahisi labda nimeitengeneza vibaya, nikaenda kufanya udadisi huko mtaani japo sikusema lengo..

Nilipewa somo na nikalifanyia kazi sikuona utofauti wowote na mwanzo!

Mwaka 2016, nikakutana na bosi flani mwanachama mzuri tu nikamwambia namimi natumia hiyo kitu(ktk stori za hapa na pale) jamaa hakuwa mchoyo!!

Aah nikakata tamaa nikasema bangi ni UTAPELI bora unywe konyagi
Huu mmea wa ufunuo huwa unapakaziwa mambo mengi sana mabaya japo hakuna uhalisia katika hilo.
Ukiona mtu anakuwa wa hovyo baada ya kutumia mmea wa ufunuo, ujue huyo alikuwa ni wa hovyo tu hata kabla hajatumia mmea.
Ni kama kusema ukinywa pombe eti unakuwa mgomvi au kusema zinahamia chini, mbona hatujawahi kuziona Safari na Castle Lite zikiwa kwenye Jokofu la Bar zinagombana au zinafanyana mchezo mbaya?
 
Kuna mwenzio siku ya kwanza tu kuvuta aliomba kufirwa na masela wote aliovuta nao tena anaomba kwa kilio kabisa 'naombeni mnifireee' huku analia machozi na walimfira kweli ilikua kesi nzito mtaani walikamatwa wote waliomfanyia ule mchezo mchafu Bwana mdogo kisa bangi,

Siku niliyoenjoy kula mmea ni siku nipo Chuo nakumbuka kuna mwamba ye alikua ananunua bangi alafu anachukua mbegu tupu na konyagi bapa kubwa ananyonga mbegu za bangi msokoto akimaliza analipua akishalipua anashushia na bapa la konyagi, don't try this at home mamen utakufa mapema jamaa kuna siku alinyoga misokoto mitatu usichokijua utamu wa bangi mvute wengi yaan usivute peke yangu ili usishikwe na wenge, Ila pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass pafu pafu pafu pass mko wanne au watatu bangi inakua tamu sana, sasa jamàa msokoto mzima anakula peke yake na bapa pembeni jamaa alizima, narudia bangi alikua ananunua kisha anachukua mbegu tu anaroll kisha analipua umeme mbegu zinaenda kubust kwenye ubongo plus nyagi km yupo peponi vile alizima siku 2 hajitambui unacheza na bangi kaja kushtuka yupo hospital katundikwa dripu ya maji
Hii ya kuvuta wengi na kuzungusha ndio story iliyowaingiza vijana wengi kwenye utumiaji wa heroine..sad story ya msanii wetu mmoja mkubwa t naemfaham vizuri Sana ndio washkaji zake walivyomuingiza Ivo bila mwenyew kujua.
 
niliambiwa endapo mbwa ukimpa hio kitu anakuwa mkali ila cha ajabu sijawahi fuga mbwa koko kama yule niliempa mjani hamna kitu labda zina series tunayoipata sisi ni underground sitarudia tena
 
Nahisi hukuvuta bangi mkuu ulivuta makapi siwezi kusahau hii kitu ilitaka nichanganyikiwe mazima au kuwa chizi kabisa Kuna mawili nilikuwa naenda kuwa chizi au naona nakufa kabisa.👐👐
 
Huu mmea wa ufunuo huwa unapakaziwa mambo mengi sana mabaya japo hakuna uhalisia katika hilo.
Ukiona mtu anakuwa wa hovyo baada ya kutumia mmea wa ufunuo, ujue huyo alikuwa ni wa hovyo tu hata kabla hajatumia mmea.
Ni kama kusema ukinywa pombe eti unakuwa mgomvi au kusema zinahamia chini, mbona hatujawahi kuziona Safari na Castle Lite zikiwa kwenye Jokofu la Bar zinagombana au zinafanyana mchezo mbaya?
[emoji38][emoji119]
 
Stimu yake ikoje? Sijawahi hiyo kitu wala sigara ila pombe za Kila aina nimegusa
 
Nahisi hukuvuta bangi mkuu ulivuta makapi siwezi kusahau hii kitu ilitaka nichanganyikiwe mazima au kuwa chizi kabisa Kuna mawili nilikuwa naenda kuwa chizi au naona nakufa kabisa.
hizo bangi mnazonunua itakuwa mnawekewa na mavi yaliyokauka! Sio hivi hivi
 
Stimu yake ikoje? Sijawahi hiyo kitu wala sigara ila pombe za Kila aina nimegusa
kama pombe umeshatumia za kila aina basi bangi haiwezi kukuzuzua! Nilichokuja kugundua (baadae sana) bangi inakupa utulivu wa fikra. Hzo zingne ni propaganda
 
kama pombe umeshatumia za kila aina basi bangi haiwezi kukuzuzua! Nilichokuja kugundua (baadae sana) bangi inakupa utulivu wa fikra. Hzo zingne ni propaganda
Duh unanivuta sema tangu nikiwa mdogo naona kuvuta sijui imeaaje. Hiki kichwa changu labda nitakivutia jani one day
 
Duh unanivuta sema tangu nikiwa mdogo naona kuvuta sijui imeaaje. Hiki kichwa changu labda nitakivutia jani one day
tafuta bangi natural achana na hzi za vichochoroni wanazovuta waliokata tamaa, hizo zimewekewa midawa mingine
 
Hii ya kuvuta wengi na kuzungusha ndio story iliyowaingiza vijana wengi kwenye utumiaji wa heroine..sad story ya msanii wetu mmoja mkubwa t naemfaham vizuri Sana ndio washkaji zake walivyomuingiza Ivo bila mwenyew kujua.
Sio bangi tu hadi gongo, kibuku, Pombe Pombe za kienyeji km Mbege, kuzungusha komichi ni lazima, unapiga Tama za Pombe kidogo unazungusha KOMBE
 
tafuta bangi natural achana na hzi za vichochoroni wanazovuta waliokata tamaa, hizo zimewekewa midawa mingine
Natural herb zipo Ila Cha kumshauri avute kiistarabu street bange zinaota vichakani tu na watu hawana time Ila wahuni wakiziona wanazichukua wenyewe wanaita mlenda pori kumbe bange
 
Jomba ingekuwa unavyosema kusingekuwa na haja ya bangi kupigwa marufuku. Unavyopotosha unatia hasira mno kwasababu mimi na familia yangu tumehangaika sana na mdogo wangu kumwondoa kwenye uraibu wa bangi. Kuna dogo mwingine jirani alikuwa vizuri tu ila sasa hivi anapanda Mlima Kilinanjaro kama pota kisa bangi. Yaani madogo vyeti vina A kama zote ila hawaaminiki kwsababu ya hizo bangi. Moderator FUTENI HUU UZI ULIOJAA UPOTOSHAJI.
Mkuu kunakuwaga na sababu za kiroho ndio sababisho lakini sio bangi kama bangi .uwenda alichezewa kwanza kabla maana asipoxhezewa mtu huwa haanzi tu moja kwa moja mpaka awe ivyo ila kunakuwaga na yasiri yaliyosababisha hasa wale ambao unakuta walikuwa vizuri sana kielimu.
Ila sasa sababu anavuta bangi ndio inaonekana kama ndio sababu
 
Back
Top Bottom