Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Tuliowahi kuvuta bangi tukutane hapa

Mkuu kunakuwaga na sababu za kiroho ndio sababisho lakini sio bangi kama bangi .uwenda alichezewa kwanza kabla maana asipoxhezewa mtu huwa haanzi tu moja kwa moja mpaka awe ivyo ila kunakuwaga na yasiri yaliyosababisha hasa wale ambao unakuta walikuwa vizuri sana kielimu.
Ila sasa sababu anavuta bangi ndio inaonekana kama ndio sababu
fact!
 
Mkuu kunakuwaga na sababu za kiroho ndio sababisho lakini sio bangi kama bangi .uwenda alichezewa kwanza kabla maana asipoxhezewa mtu huwa haanzi tu moja kwa moja mpaka awe ivyo ila kunakuwaga na yasiri yaliyosababisha hasa wale ambao unakuta walikuwa vizuri sana kielimu.
Ila sasa sababu anavuta bangi ndio inaonekana kama ndio sababu
Uwenda = huenda, asipoxhezewa = asipochezewa, ivyo = hivyo. Wewe ulichezewa au ni bangi?
 
Bhangi iacheni, imemfanya Nature kagandisha miaka wakati tupo la pili tunamsikia anamuimba Sintah sitaki demu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom