[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kabisa yaani na unafurahi na kupata Ndugu, Jamaa na Marafiki wasio kero wala bughudha.
Na bila kusahau kupeana mawili matatu kama yalee [emoji12] [emoji12] ya Emmy na Numbi wakikutana kule maeneo huwa hayaishi. Hahaaaaa.
Hamna bwana. Sema kuna mtu unakua tu unamzimikia humu siku akija pm wala humletei pozi. Na namba akiomba unampa kiroho safi. Na huwa na sisi tunaonyesha response kwa wale tunaoona wana akili.hahaha aisee poleni wadada, kuna wanaume ni vichaa [emoji23][emoji28][emoji23]
ila sometimes na nyie wadada mnakuwaga wa ajabuu...anaweza akaja mtu kistaarabu mkamuona mshamba mkamzingua alafu akija kichaa fulani direct kwenye shida yake mnavutiwa nae hahaha [emoji2][emoji3][emoji2] Dunia hii
Ha haaaa ila wanaokuja kwa style wengi ni watoto sanaBora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]
Nikajiuliza ni kisandu uyu au nani?
Mmh!Mimi bado nataka kumjua yule dada alimtongoza jamaa mmoja hivi pm akakataliwa.
Naomba nikujie PM sasahivi tafadhari ili niwe mmoja wa waliofaidi mautamu ya PM[emoji41]Hahahahahaa
Weeee. Hii ikisemwa nambie.Mimi bado nataka kumjua yule dada alimtongoza jamaa mmoja hivi pm akakataliwa.
Una sh ngapi nkuuzie?mambo, nimependa kiatu chako
Let me slide first...Umeniamkia leo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora ww[emoji3]mi kuna uyo mmoja sijui alkurupukia wapi,anakuja bila hata salamu eti kutom......ni raha[emoji3]
Nikajiuliza ni kisandu uyu au nani?
Kama kule nilishindwa kukujibu hapa sitaweza piaNijibu sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leo hiii?? Na mimi utasema wakuchukue tu kibonge huna issue.wakichukue tu ki andunje hiko hakina issue..
Tena vile vya miaka 18_20Ha haaaa ila wanaokuja kwa style wengi ni watoto sana
nyoo niniNyooooo.
kwa hiyo unaona mi sistahili kuja pm kwako ??Mo11 usikuje uwiiii
umeona wapi nikisema hivyo?Leo hiii?? Na mimi utasema wakuchukue tu kibonge huna issue.
nicheki pm babeUna sh ngapi nkuuzie?
Msitutenge tuvumilieni tutakuwa tuTena vile vya miaka 18_20