Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

hahaha aisee poleni wadada, kuna wanaume ni vichaa [emoji23][emoji28][emoji23]

ila sometimes na nyie wadada mnakuwaga wa ajabuu...anaweza akaja mtu kistaarabu mkamuona mshamba mkamzingua alafu akija kichaa fulani direct kwenye shida yake mnavutiwa nae hahaha [emoji2][emoji3][emoji2] Dunia hii
Hamna bwana. Sema kuna mtu unakua tu unamzimikia humu siku akija pm wala humletei pozi. Na namba akiomba unampa kiroho safi. Na huwa na sisi tunaonyesha response kwa wale tunaoona wana akili.
 
Back
Top Bottom