Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Hahaha,nimekutania bana mimi na wewe tena naanzaje kuacha kusalimia mimi.Yaan wewe ebu acha kujishtukia me ndio nilianza kukufata pm mm kwahiyo ningekuwa sitaki nisingekufata bada ya kusema una shida na mm naanzaje kukusema ukiona naongea kuhusu pm ni mambo ya zamani kabla sijaifunga huko
Hakiii tena. Kumpa mtu huku inataka moyo. Ndo nakuangalia nani unampa. Unawekewa thread unaweza ukajiua.ukimpa mtu, watu wenyewe Hawa mazuzu magic kesho utashangaa thread mpya. Nimelala Na mwana Jf fulani Tukuyu yake mbayaaaaaa inanukaaaaaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
Sasa kushare mi ndo nlipata F, hiki kipengele labda niwe sjui,lakin najua kabisa nashare tena na wenzangu sio mwenzang[emoji23] anko wako akae tu pembenAuntie yangu mwenyewe hana shida kwenye swala la kushare ana wake wenza wengi sana
timiza masharti upewe rahaUmalaya tu
Shemeji ako huyo wewe acha ufisi.naomba unichum
Poa kabisa rafiki yangu. Upo?Rafiki mambo?
Ile corridor ya PM si mchezo...Hahahahaa. Sasa kwanini upanic?
huoni kaniita nyauSi umemsema mke mwenzangu.
Cc innanaomba unichum
Dustbin linawahusu[emoji4]Watu wa hivyo ni kuwa puuza tu
Ulinishtua mnooo ukiona naongea hizo mambo ni zamani huko kabla sijafunga pm zilikua zinaingia tu kama maji kwa sikuHahaha,nimekutania bana mimi na wewe tena naanzaje kuacha kusalimia mimi.
Hata kama sina pesa nitakuja tu.
asante my best , sasa nakuja pmMwaaaah
Babu mie nakusalimia tu.Kumbe mi mstaarabu. Ndo nimejua leo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ni kiss tu jamanShemeji ako huyo wewe acha ufisi.
hahaha hayaHahahaaa.. tulia tupate ubuyu
Karibu sanaasante my best , sasa nakuja pm
Nabadili gear kila mda ndio huyo huyo mmoja lengo Ni kukupata [emoji23]Sas ww ni yupi,ni uyu wa wimbo au huy wa matusi?
ni mimi ..Ushaelekea kibla, hapo bado kidogo tuu unatafunwa hivi hivi