Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Yaan wewe ebu acha kujishtukia me ndio nilianza kukufata pm mm kwahiyo ningekuwa sitaki nisingekufata bada ya kusema una shida na mm naanzaje kukusema ukiona naongea kuhusu pm ni mambo ya zamani kabla sijaifunga huko
Hahaha,nimekutania bana mimi na wewe tena naanzaje kuacha kusalimia mimi.
Hata kama sina pesa nitakuja tu.
 
ukimpa mtu, watu wenyewe Hawa mazuzu magic kesho utashangaa thread mpya. Nimelala Na mwana Jf fulani Tukuyu yake mbayaaaaaa inanukaaaaaa
Hakiii tena. Kumpa mtu huku inataka moyo. Ndo nakuangalia nani unampa. Unawekewa thread unaweza ukajiua.
 
Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza

nitaendelea
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aiseee,
 
Back
Top Bottom