hahaa siana chukulia kuwa haumuoni ..so hiyo inakuwa ni advantage kwake yakujitoa akili ..na huwenda ikawa ana I'd kama mbili Hivi ..huku anajifnya mstaarabu kama Malcolm Lumumba upnde wa I'd nyingine anajichetua tu kama Beira boihahaha[emoji23][emoji28][emoji23] kuna watu mshipa wa aibu na ufahamu umekatika aisee duuh!
kunihongwa ka juhudi zangu za kuwafanya kama kile gadna alichomfanyaga lady jaydiiYapi hayo me mpk nmekubebea kibend chako
Oohhh🙄🙄Wengi kutakana ila wengine wanakuja kirafiki kabisa na mwingine hata kukutaka anakutaka kistaarabu mnakataana kistaarabu mnaendelea kuchat kistaarabu bado. Wengine jamani. Daaah. Mtu anakwambia anataka kufanya nini sijui tena bila hata salamu.
Kwema kabisaUsingizi ulinipitia. Kwema?
nicheki pm basi..Haya sasa pambana na pm
Umenikimbia pm nakufata unanikimbia poa tu...Usingizi ulinipitia. Kwema?
Basi nisimulie kidogo vimbwanga vyako best, hata kwa PM, teh!Hahaaa. Hongera zako best. Hiyo poa sana aisee.
Ila kuna vibwanga sana huko maeneo yaani wacha kabisa.
Utadhani salamu zinaliwaKuna raha gani sasa huko pm zaidi ya kuja kusalimiwa tu kwa siku hata mara 10 mtu akitoka akija ye salaam tu
hahaa unampigia hesabu ..daahh wanaume wenye busara bhana always huwa wanajua kuzitumia busara zao vyema kuwadanganya gals...Soda nimeagiza Ila ile number sijaifuta ipo store
Heee jiran sio kwa kunisusa huko nani anakuzuzua pm sikuhzShikamoo Inna
Bora aende kwa mzee mwenzio, atuachie na sisi hukuHuyo kizee tayar tu ni ugonjwa tosha alivyo tongoza tongozaa kila mtu akimwona sahv anam mendea kassie naona wataendana mana ni kibibi na kibabu
sio ntatoa.. natoa manake kitanda hakizai haramuKumbe hauna uhakika Ila
Garama zote utatoa
Bora anaeanza na salamu kuna mwingine anaibuka tu "we lazma nikut*mbe wewe" unawaza hili ni popobawa au[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Si wezi kufanya hivyo. Ngoja nikucheckUmenikimbia pm nakufata unanikimbia poa tu...
hahaa huwa anaonekena mama mwnye nidhamu sanaMuone sasa akili zako haziendani na tabasamu lako!!
Umeona eeBora aende kwa mzee mwenzio, atuachie na sisi huku
ameshajua kuwa una kibendi ambacho hakina babaUmenikimbia pm nakufata unanikimbia poa tu...