nikweli mkuu Tatizo la baadhi ya wanaume wengi wa kiafrica ngono ni sehemu ya ufahari ..yaani akimgonga mwanamke basii ana feel proud ..wengi huwa namitazamo hiiVijana wakisha onja utamu wanakuwa Na ngebe Na kejeli za Hali ya juu
Ukuje basi!!Acha na mm niandike kitu!!
Unanijua nakujua ..tumefanana sana tu na bado nakutafuta lkn niliposafiri kwenda Nairobi na baadae Kampala nilipata ajali nikapoteza cm zote na nyaraka zingine.
.Niliporudi Tanzania nika-renew line na ku-activate kila kilichotakiwa.
Shida kubwa mpaka sasa ni kwamba INBOX YANGU HAIFUNGUKI(Hata sijui kwanini) kwahiyo nashindwa kupata namba zako.
Na bila shaka PM yako umeifunga...nashindwa kukupata ndugu/rafiki na mshirika wangu.
Tafadhali njoo PM tafadhali.
Nina safari ya South Sudan end of this month kama nitajaaliwa so usichelewe ili kabla sijasafiri tukutane as we promised.
Kuingia PM mkakuta mnafanana ni bahati kubwa siprndi kuipoteza wala usipende kupoteza.
Nakulia timing nikusumbue na MimiLazima wakusumbue tu hakuna namna
hahaa kabisa mkuu ..inanuka ile mbayaTumbaku gosho iliyolowana
umeona ehhhahaa kabisa mkuu ..inanuka ile mbaya
haswaa mkuuumeona ehh
ndipo uwezo wetu wa kutafakari ulipo komeanikweli mkuu Tatizo la baadhi ya wanaume wengi wa kiafrica ngono ni sehemu ya ufahari ..yaani akimgonga mwanamke basii ana feel proud ..wengi huwa namitazamo hii
Nipe s.l.p yako nitume maombi yakufunguliwa.[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapana rafiki.
Inanichekesha tuu maana ni full uongo uongo.....Inakukumbusha wapi hiyo mumu
WasalimieNikirud nitakutag
nihatari mnoo kwa ustawi wa maendeleo aiseendipo uwezo wetu wa kutafakari ulipo komea
Hahaha huko PM ee!Inanichekesha tuu maana ni full uongo uongo.....
πππππππNikakausha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
Usicheke mkuu, vibuti sio vizuri[emoji23] [emoji23] [emoji23]
never too lateDah ngoja na mimi nianze kusumbua au nimechelewa?
Ndiyooo,.wengine wahuni tuu hawana lolote unawasoma halafu una[emoji4] maisha yanaendelea.Hahaha huko PM ee!
Ni kweliπππππππ
Nae nadha Alikausha pia
Haha badili gia mkuu, kitonga huwezi panda kwa gia namba 4Usicheke mkuu, vibuti sio vizuri
Goma Lina gia 16 high Na low. hiyo ni nne low naanzia mlimaHaha badili gia mkuu, kitonga huwezi panda kwa gia namba 4