Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Hujasumbiliwa usitaje ID tuHahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasumbiliwa usitaje ID tuHahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
ndio mkuu....baada ya kutosha kupita.Ombi lako lilitekelezwa?
And JF rules insist thatMtu yeyote anaeanzisha thread ya PM hana nia nzuri kabisa. What happens in Vegas stays in Vegas.
Msitaje ID za watuEmmyta tulichat fresh semaa nkataka kujuana nae zaidii akanikimbiaa..haa ha..sema ntarudi tuu namvutia kasi
Sasa nimeamini kumbe kuna wanao fwatwa nilijua wanataniaNitakuja PM kwako siku moja.
Eeeh haswa tajeni ID za mbuziMsitaje ID za watu
Sasa mkuu si lazima mmoja amfuate mwenzake? Au pm inakuaje? Nikiwa nina jambo nataka kushare na wewe siruhusiwi kukufuata?Sasa nimeamini kumbe kuna wanao fwatwa nilijua wanatania
Unalijua lengo la kuja huko?[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Mkuu unatumia nguvu nyingi punguzaHili jukwaa nahisi mod Hata Mimi wamenipa access fake maana kila nikijaribu kwenda kufanya vurugu nakutana na kufuli kamanda
Ndiooo si mnapenda shotcutKuna mmoja kaja juzi bila hata salamu eti demi nakutaka. Kha! Nikaishia kucheka tu
Kabisa mkuu msije mkatuumbua buree wengine tumejaza mate midomoniEeeh haswa tajeni ID za mbuzi
Karibu sana.Sasa mkuu si lazima mmoja amfuate mwenzake? Au pm inakuaje? Nikiwa nina jambo nataka kushare na wewe siruhusiwi kukufuata?
Yupo humu au uraiani?Wapelekeane tu zawadi vizuri sakayo yupo
Yupo uraianiYupo humu au uraiani?
Lumumba kwani kuna wanaume wazima?Kuna ID naiwinda basi tu....
Nawafata wengi tu..tatizo lenu mnajua PM ni mambo ya kubanjuana tu. Wakati mwingine tunahitaji marafiki, tena urafiki unabaki kuwa wa jf pekee na si zaidi ya hapo.Karibu sana.
Naamini kumbe kuna wanaofuatwa nilijua utani ke hahusiki kufata