Mimi kati ya PM nilizonazo ambazo ni za KE wao ndio wamenifuata na ninachat nao kwa wema kabisa, ninapiga nao story vizuri sana na kufurahi kwa pamoja.Karibu sana.
Naamini kumbe kuna wanaofuatwa nilijua utani ke hahusiki kufata
Mbona kimya jamaniiI don’t need to add sugar to my coffee because your kisses are all the sweetness I need in my life.
Ujumbe kutoka PM
Uliyetuma tafadhali nimekupenda ghafla
Hem nihabarishe huko pm ni maigizo au inakua kwelikweli?Cause all of me loves all of you. Love your curves and all your edges, all your perfect imperfections.
Im not pretending.
Now im at the point of no hiding my feelings anymore.
Lets give time some time.
Mzigua90 nisaidie kujibuHem nihabarishe huko pm ni maigizo au inakua kwelikweli?
Vigizo vyake pia mana isijekua ndo sababu hamna fukara humu
Hii ni kwa wahenga tuMipaka ni lazima. Kuna mijitu haina akili inataka urafiki nje ya jf ukiikaribisha lazima wakuharibie..utasikia mlio wa msg saa 8 usiku...i miss u. Wajinga kabisa! Mimi urafiki na mwanaume nje ya jf siufagilii hata kidogo. Wengi ni under 20, zero brain!
Aweeee. Akikuchomoloea basi tena.Cause all of me loves all of you. Love your curves and all your edges, all your perfect imperfections.
Im not pretending.
Now im at the point of no hiding my feelings anymore.
Lets give time some time.
Yaonyesha mnashambuliwa kama sinia la ubwabwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Me kwakweli pm kuna watu ni wasumbufu mnooo yaan mno halaf sana maswali ya kijinga kama police na wanasalimia mnooo yaan kwa siku utasalimiwa hata mara 10
Afu spendi ushadadie. Utaniharibia ujue.Aweeee. Akikuchomoloea basi tena.
Nakuja PM huko....nashukuru siku hizi huniogopi!Yupo uraiani
WaoooohMimi kati ya PM nilizonazo ambazo ni za KE wao ndio wamenifuata na ninachat nao kwa wema kabisa, ninapiga nao story vizuri sana na kufurahi kwa pamoja.
Wapo hawana subiri wanakuna pupa kufuata wenzio PM matokeo yake wanaishia kujibiwa hovyo kulingana na gia aliyoingia nayo, ila ukiingia taratibu mtaelewana vizuri tu bila shida yoyote.
Kingine inachowaboa watu, mtu akiingia PM anakuwa na haraka ya kutaka kumjua mtu kwa undani zaidi na kuomba namba ya simu hapo hapo, kitendo ambacho kinapelekea PM kuvunjika mapema.
Bwana mtu aje pm kistaarabu tu. Salamu mara moja. Mwaliko wa wine na nini. Lakini ukija na pupa kama fisi kaona mzoga mtu anaona unamchukulia malaya. Chukua muda. Juaneni kidogo. Sio message ya kwanza salamu ya pili unataka mkabanduane kama vile utamlipa kwa kuwa unajua anajiuza. Mi napenda wanaume wastaarabu. Na wastaarabu wengi nachat nao pm na wachache whatsapp wale wanaojilewa.Wanawake kweli hamueleweki....tukija kwa pozi salamu mara tatu kwa siku mnatuponda! Tukija direct 'nataka niku.....mbe' bado mnalalamika!
Tuwekeeni mwongozo wa tongozo basi....
Hahahahaaa.. kwahiyo ulikua unanidanganya you idiot? Nilijua kweli nikapanic. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Sema mi ntakusaidia kukuombea kwa Kasie maana mi si ndo ushaniacha tena.Afu spendi ushadadie. Utaniharibia ujue.
Umekataa masharti yangu ya kukuseduce to the next planet.
Ukayaogopa maneno matupu ambayo hayana ukweli.
Ila nitakupe another chance ya wewe kunipa anothe chance
Nilkuwa nimelala naumwaaMbona kimya jamanii
Hiyo ni kama mchezo wa Biko na tatu mzukaWanawake kweli hamueleweki....tukija kwa pozi salamu mara tatu kwa siku mnatuponda! Tukija direct 'nataka niku.....mbe' bado mnalalamika!
Tuwekeeni mwongozo wa tongozo basi....
Mwambie akujibu mwenyewe mwaya asinitumie mie kabisa.Umeniangusha mweleka
Wahenga kama wewe mpo wachache sanaHii ni kwa wahenga tu