Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Kuna swaga unazo penda ndomana unakumbana na under 20 sio bure
 
Wanawake kweli hamueleweki....tukija kwa pozi salamu mara tatu kwa siku mnatuponda! Tukija direct 'nataka niku.....mbe' bado mnalalamika!
Tuwekeeni mwongozo wa tongozo basi....
Hii imenishanhaza mana kuna sikua walikua wanalalamika wanasalimiwa sana badala ya mtu kufikisha kilicho mpeleka mimi ngoja nitazame tu
 
Hiki ndo kinaitwa kismati bila shaka
 
Hii imenishanhaza mana kuna sikua walikua wanalalamika wanasalimiwa sana badala ya mtu kufikisha kilicho mpeleka mimi ngoja nitazame tu
Na nyie mnakua kama hamtujui dada zenu. Sisi wenyewe kuna muda hatujielewi. Kuna mtu ukimfuata umwambie kama nakutaka tukalane kama anakuelewa wala hamind. Mwingine ukimwambia hivyo unakula na block. We utakachokutana nacho huko pm kipokee tu
 
Na nyie mnakua kama hamtujui dada zenu. Sisi wenyewe kuna muda hatujielewi. Kuna mtu ukimfuata umwambie kama nakutaka tukalane kama anakuelewa wala hamind. Mwingine ukimwambia hivyo unakula na block. We utakachokutana nacho huko pm kipokee tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heeee kumbe mko serious nilijua mnatania? Ngoja nijifunze kwa huu ushauri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…