Kuna swaga unazo penda ndomana unakumbana na under 20 sio bureMipaka ni lazima. Kuna mijitu haina akili inataka urafiki nje ya jf ukiikaribisha lazima wakuharibie..utasikia mlio wa msg saa 8 usiku...i miss u. Wajinga kabisa! Mimi urafiki na mwanaume nje ya jf siufagilii hata kidogo. Wengi ni under 20, zero brain!
Kama yalishakukuta bhas sawaaaMipaka ni lazima. Kuna mijitu haina akili inataka urafiki nje ya jf ukiikaribisha lazima wakuharibie..utasikia mlio wa msg saa 8 usiku...i miss u. Wajinga kabisa! Mimi urafiki na mwanaume nje ya jf siufagilii hata kidogo. Wengi ni under 20, zero brain!
MmhKule kwa wanyamwezi kuna dawa wanaita kiasali aiseee usiombe ukutane na mwanamke kakipaka hiko ukaja kupitisha ubor wako pale hasa juuu juuu pale ukalipalaza bichwa praaaaa praaaaa!
Ukuje tu mkuuYaonyesha mnashambuliwa kama sinia la ubwabwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilitaka kuja kwako nimegairi.
Ahahha kukuogopa kupo pale pale nilipata tu ujasili ile sikuNakuja PM huko....nashukuru siku hizi huniogopi!
Amejishindwa sihitaji jibu tenaMwambie akujibu mwenyewe mwaya asinitumie mie kabisa.
Hahahaaa.Amejishindwa sihitaji jibu tena
Yalishanikuta enzi za ujanaKama yalishakukuta bhas sawaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mipaka ni lazima. Kuna mijitu haina akili inataka urafiki nje ya jf ukiikaribisha lazima wakuharibie..utasikia mlio wa msg saa 8 usiku...i miss u. Wajinga kabisa! Mimi urafiki na mwanaume nje ya jf siufagilii hata kidogo. Wengi ni under 20, zero brain!
Hii imenishanhaza mana kuna sikua walikua wanalalamika wanasalimiwa sana badala ya mtu kufikisha kilicho mpeleka mimi ngoja nitazame tuWanawake kweli hamueleweki....tukija kwa pozi salamu mara tatu kwa siku mnatuponda! Tukija direct 'nataka niku.....mbe' bado mnalalamika!
Tuwekeeni mwongozo wa tongozo basi....
Napenda swaga za kizee.Kuna swaga unazo penda ndomana unakumbana na under 20 sio bure
Hiki ndo kinaitwa kismati bila shakaMimi kati ya PM nilizonazo ambazo ni za KE wao ndio wamenifuata na ninachat nao kwa wema kabisa, ninapiga nao story vizuri sana na kufurahi kwa pamoja.
Wapo hawana subiri wanakuna pupa kufuata wenzio PM matokeo yake wanaishia kujibiwa hovyo kulingana na gia aliyoingia nayo, ila ukiingia taratibu mtaelewana vizuri tu bila shida yoyote.
Kingine inachowaboa watu, mtu akiingia PM anakuwa na haraka ya kutaka kumjua mtu kwa undani zaidi na kuomba namba ya simu hapo hapo, kitendo ambacho kinapelekea PM kuvunjika mapema.
Na nyie mnakua kama hamtujui dada zenu. Sisi wenyewe kuna muda hatujielewi. Kuna mtu ukimfuata umwambie kama nakutaka tukalane kama anakuelewa wala hamind. Mwingine ukimwambia hivyo unakula na block. We utakachokutana nacho huko pm kipokee tuHii imenishanhaza mana kuna sikua walikua wanalalamika wanasalimiwa sana badala ya mtu kufikisha kilicho mpeleka mimi ngoja nitazame tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na nyie mnakua kama hamtujui dada zenu. Sisi wenyewe kuna muda hatujielewi. Kuna mtu ukimfuata umwambie kama nakutaka tukalane kama anakuelewa wala hamind. Mwingine ukimwambia hivyo unakula na block. We utakachokutana nacho huko pm kipokee tu
Hivi lile tongozo ni lako kumbeIlibid nimtumie pm
Heeee kumbe mko serious nilijua mnatania? Ngoja nijifunze kwa huu ushauri wako.Bwana mtu aje pm kistaarabu tu. Salamu mara moja. Mwaliko wa wine na nini. Lakini ukija na pupa kama fisi kaona mzoga mtu anaona unamchukulia malaya. Chukua muda. Juaneni kidogo. Sio message ya kwanza salamu ya pili unataka mkabanduane kama vile utamlipa kwa kuwa unajua anajiuza. Mi napenda wanaume wastaarabu. Na wastaarabu wengi nachat nao pm na wachache whatsapp wale wanaojilewa.
Naomba unijibu haya maswali yote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Waooooh
Watu wanakimbilia kuuuliza kazi
Unaishi wapi
Una mpenzi
Una miaka mingapi
Unakaaa na nan
Una watoto
Nitumie pichaaaa
Maswali yote ili upate nn?
Chamdeko
Hapana unasema tu mazingila yameonyesha tayariNapenda swaga za kizee.