Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hahaha ukabaki mdomo wazi
 
Manga pm wanakuja watu wa kila aina kuna watu wa masalaam kwa siku utasalimiwa hata mara 10 yaan akiingia akitoka ni salaam tu na kuna watu wa kuomba pic tu anataka akujue ulivyo pm kuna kila aina ya vituko
Ahaa basi ngoja tuendelee kuzoea na masiku yanaenda kasi kweli
 
[emoji3][emoji3][emoji3] yaan alijua anachokifanya moja kwa moja kaja kwenye meza yetu ananiambia shunie basi akanihug tukaanza kupiga moja moto moja baridi story yaan naishuru jf kwakweli imenipa watu wema sana
Haha umenichekesha eti ukaona wababu wawili wanaingia ukafunika simu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Haha umenichekesha eti ukaona wababu wawili wanaingia ukafunika simu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ahhhaha mwenyewe nilimwambia alicheka sana akaniambia kwahiyo ningekuwa wale vibabu ndio ungenikimbia nikamwambia yaan nilivyoona wameshika simu wanapiga nikajua ndio wewe nimefunika simu yangu ingeita ningeizima kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ya kuchungulia naitamani sana najua tunapishana sana humu barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…