Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Ahaaa, utasikia huyo Shunie anavyoringa, kumbe sura yenyewe kama anapiga chafya? Ila mimi ningekuwa mwanamke huko Pm watu kama hao wangenikoma.Endelea kuigopa hivyo hivyo mwingine anataka kukujua tu unavyofanania na hii sura ya baba angu siku unapigwa madongo au unaanzishiwa lithread lako mtu flank anaringa ni mbaya huyo au wana magroup yao huko ya whatsapp huko unaenda kusemwa
Hapana mkuu vituko vyake mcheshi sana mnakaa hauboreki hawezi nitongoza kama dada ake tulivyo ni mtu wa story sanaMautundu hayo ya wapi?! Isije ikawa kunako sita kwa sita?! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kama wana uwezo basi ni wavumilivu sana kutokana na yanayotokea kwenye PM zetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi moderator wanauwezo wa kusoma PM zetu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] nsharudisha
Hafu kama huyo siku ingine fanya kama chizi flani kubali mpaka nukta ya mwisho uone ni mtu kweliMtu anakufuata pm anakuambia nipe namba yako nataka nikalale (akitumia lile neno Kali [nataka nikito*mbe]) jamani vivulana vya Jf are very boring
Inaleta raha sana..!Hii ya kuchungulia naitamani sana najua tunapishana sana humu barabarani
Unajitoa tu muhanga ili mradi umejiridhisha ni mwanamke kwahyo unachokitaka anachoKumbe eeh, make hata mimi najiulizaga sana how comes mtu humjui, hujamuona, hakujui, hajakuona halafu eti mnatongozana?
Umeanza kusifia sasa...Pm kumekushindaIla nimegundua Mzigua90 ni fantasy ya wanaume wengi humu....simply 'sexiest' ki jf jf sijui in real life.
Hili swali hata mimi najiulizaga sanaHivi moderator wanauwezo wa kusoma PM zetu?
Kweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana namba
Ndio mana shida kama hizo hatuzitaki tunafunga pm tukutane jukwaaniAhaaa, utasikia huyo Shunie anavyoringa, kumbe sura yenyewe kama anapiga chafya? Ila mimi ningekuwa mwanamke huko Pm watu kama hao wangenikoma.
NdioHivi moderator wanauwezo wa kusoma PM zetu?
Sijui kwanini kila nikiplan kubisha hodi kwako nagwaya[emoji85]Hahaaaaaa. Aiseeeee.
Jf raha sana.
Basi wewe ni kunikumbusha tu ikifika kiwanja kimoja baada ya kingine ntasubiri maelekezo tuAweeee. Niko tayari mr. Uber
Unapenda tu mwandiko wako. Kawaida tu.Kumbe eeh, make hata mimi najiulizaga sana how comes mtu humjui, hujamuona, hakujui, hajakuona halafu eti mnatongozana?
Kweli kabisa, yani kama wanaweza kuziona PM zetu basi naamini kuna time watakuwa wanacheka tu vile jinsi watu wanavyolizwa.Kama wana uwezo basi ni wavumilivu sana kutokana na yanayotokea kwenye PM zetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo ujitahidi ujue id yakeHata simuogopi ujue. Sema naogopa tu tusije tamaniana humu ikawa ishu unaflirt na baba mdogo.
Aisee kupitiwa jf na avatar fake hakunagaUnaulizia isije akawa ameshakupitia nn?! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]