Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Endelea kuigopa hivyo hivyo mwingine anataka kukujua tu unavyofanania na hii sura ya baba angu siku unapigwa madongo au unaanzishiwa lithread lako mtu flank anaringa ni mbaya huyo au wana magroup yao huko ya whatsapp huko unaenda kusemwa
Ahaaa, utasikia huyo Shunie anavyoringa, kumbe sura yenyewe kama anapiga chafya? Ila mimi ningekuwa mwanamke huko Pm watu kama hao wangenikoma.
 
Kweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana namba

Ha ha ha, kumbee.
 
Back
Top Bottom