Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Taratibu kabisa mtoto anajaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaaa huwa mnajifnya kuact ugentlemen ile mbaya ..mtoto wakike hata akiwa na stress kazinguliwa na libwana lke huko ..anakupigia wewe ..nawewe jinsi unavyojua kucheza na akili yake ...basi wamuhamasisha na maneno yakumtia nguvu ..nawala huonyeshi kumtaka ..mpka mwisho wa movie anakuja kukupa chiu yeye mwenyew ..hahahaa HUWA WANADNGNYIKA NA KUSEMA YULE MKAKA MSTAARABU KWELI ..MANINA KUMBE UNA IDADI YA MADEMU LUKUKI KAMA VITABU VYA MAKTABA YA HAYATI NYERERE
 
Back
Top Bottom