Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Eenh hakuna namna ingineKheeee[emoji15] [emoji2] [emoji1] .Naona huu Uzi unaongeza PMs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eenh hakuna namna ingineKheeee[emoji15] [emoji2] [emoji1] .Naona huu Uzi unaongeza PMs
Comrade ulipotea sana.Pole mkuu ulichelewa
Kweli mwaka mpya mambo mapya.Abeeee
Asitongozwe.Ila nilifaham baada ya kukutana physcall,ila for sure alikuwa ktk mkakati WA kuolewa.Its was okay after there,n I do respect herAisee sasa ulimuuliza kwanini alikuwa anaficha jinsia.
Can I have that oxford key ps[emoji85] [emoji4][emoji4][emoji4]
Umeniitaje kisaambaa hivi na wewe...
Ufike salamaTeh teh teh niache nipite kimya kimya na safari yangu ya koromije
Ndugu yangu inaonekana una experience mubashara sanaMkuu unatumia nguvu nyingi punguza
Sio mtu wa majukwaani sana halaf usome uelewe sio una muemko wa kiwivu sio mpenzi wangu au mwanaume wangu tulipofikia ni kama nduguKwa hiyo yeye ni pm tu mtakua wangapi
hahaaa huwa mnajifnya kuact ugentlemen ile mbaya ..mtoto wakike hata akiwa na stress kazinguliwa na libwana lke huko ..anakupigia wewe ..nawewe jinsi unavyojua kucheza na akili yake ...basi wamuhamasisha na maneno yakumtia nguvu ..nawala huonyeshi kumtaka ..mpka mwisho wa movie anakuja kukupa chiu yeye mwenyew ..hahahaa HUWA WANADNGNYIKA NA KUSEMA YULE MKAKA MSTAARABU KWELI ..MANINA KUMBE UNA IDADI YA MADEMU LUKUKI KAMA VITABU VYA MAKTABA YA HAYATI NYERERETaratibu kabisa mtoto anajaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuwa wapi huyuAnakuja
Hahahaaa. Basi wacha waendelee tu. Ila hata live sio mbaya kabisa mimi (najisifia mwenyewe) lol.Readers perception derived from yo avatar's look
We mdaslama mwenzangu najua hutoniangusha[emoji1][emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ulikua serious
Hii ilikua kali zaidi itakua yeye ndo chanzo mkawa friendHaaah Mara 1000 mkuu, nilichatig na Mshkaj ,for 3weeks consecutively,akidai ni MEN mwenzang tunakuja kutana siku yenyew kumbe demu alaf mkaliiiii...haaaah.Sasa Hayupo JF(kaolewa na kawa banned na her husband)
Nimekutumia namba ya wakala bby sijaona kitu.Nadhani umeingia Pesa Money(Pm) soon nimeongeza waraka mwingine
Niko huku duniani Shem... Mwanzo wa mwaka inabidi kuweka mipango sawaKweli mwaka mpya mambo mapya.
Haya habari ya wapi, pluto au jupiter?
Hatari sana hii.Asitongozwe.Ila nilifaham baada ya kukutana physcall,ila for sure alikuwa ktk mkakati WA kuolewa.Its was okay after there,n I do respect her
I'm ready.Im ready when You are.
Makubwa gani tena hayo yanayotokea Pesa Money (pm)Wavumilivu sana aisee, yanayotekea PM ni makubwa sana
Ukijikubal huumizwi na dosari.Hahahaaa. Basi wacha waendelee tu. Ila hata live sio mbaya kabisa mimi (najisifia mwenyewe) lol.