Ngovongo
JF-Expert Member
- Jan 28, 2018
- 240
- 359
Ila mimi sina bahati huko PM nikitext madada napigiwa [emoji40] kiukweli lidhik yangu ipo mbali huko PM...bath mzigua90 na kuPM niambie ata nyokoo tu nitalidhika mamitaHahahaaa. Wanazuga tu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mimi sina bahati huko PM nikitext madada napigiwa [emoji40] kiukweli lidhik yangu ipo mbali huko PM...bath mzigua90 na kuPM niambie ata nyokoo tu nitalidhika mamitaHahahaaa. Wanazuga tu hapa.
Mimi nawajua 2, iD zao zinaaza na M na J walikuwa wanatetea mapunga hatareee.... i am sure nao ni kati yaoUmeshamjua mkuu? Au aujawai kukutana nae?
Mwenza mbona ukapotea tena kule.Ni nini mkuu
Hahaaaaa. Pole sana best.Daah huu uzi mtamu una vituko sana, ngoja nipumue ntaurudia tena baadae
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]Ila mimi sina bahati huko PM nikitext madada napigiwa [emoji40] kiukweli lidhik yangu ipo mbali huko PM...bath mzigua90 na kuPM niambie ata nyokoo tu nitalidhika mamita
100 100 mzeebabaMimi namjua mmoja iD uake inaaza na M , alikuwa a anatetea mapunga hatareee.... i am sure nae mmoja wao
Nilimusoma kwenye Interview ya Max aliyoianzisha King'asti baadae akaachiwa yeye aiendeshe ilikuwa nzuri sana japo maswali wadau waliuliza kabla.
Kwenye mpangilio wa maswali yale na kuvuta umakini wa hadhira ulidhihirisha kitu alichokuwanacho kichwani.
Kuna Mod anaitwa Asha Abdillah au yeye aliukwaa uMod?
"Kaka mwambie mimi sitaki" [emoji3][emoji3][emoji3]Hahaaaaa. Mie nimepanga nikitulia ndio nisome moja moja sababu tangia asubuhi mpaka muda huu naingia yaani page nilizozosoma ni chache kuliko ambazo sijazisoma.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] hii yote ni maandalizi ya valentineHahahhaaa. Nini tena mwenza?. Mwambie mume nimemmiss sana leo na nampenda sanaaaaaaaaaaa.
Hahaaaa. We Kaka weweeee."Kaka mwambie mimi sitaki" [emoji3][emoji3][emoji3]
HatariiiKuna mmoja alinifata PM kumbe punga kanitumia mapicha ya wanaume kwa wanaume kibao anataka nikamsukumie mashine NIMEMPOTEZEA ukimkuta kule ktk jukwaa la SIASA utaisi ni mwanaume na strong point..ila ni PUNGA
Saint Ivuga hanitaki mwenza huwezi amini. Anasema game yangu haiwezi[emoji15] [emoji15] [emoji15] hii yote ni maandalizi ya valentine
Saint Ivuga njoo uchukue ujumbe wako
Umesahau nawesi ulisema utanfundisha jinsi ya kumblock mtu
Mbona hutimizi ahadi yako?[emoji15] [emoji15] [emoji15] hii yote ni maandalizi ya valentine
Saint Ivuga njoo uchukue ujumbe wako
Umesahau nawesi ulisema utanfundisha jinsi ya kumblock mtu
Ile ya kukuvutia taswiraa eeMbona hutimizi ahadi yako?
Hah wakt anasema ye ndo anapiga gemu mpk unakimbia na pichu kichwaniSaint Ivuga hanitaki mwenza huwezi amini. Anasema game yangu haiwezi
Ona sasa unavyolimbikiza ahadi.Ile ya kukuvutia taswiraa ee
PoaPoa mkuu. Karibu.
Hizo codes ni aje aki... Ngoja nikufungulie PM hebuMimi nawajua 2, iD zao zinaaza na M na J walikuwa wanatetea mapunga hatareee.... i am sure nao ni kati yao
Ushawahi ona wapi kibamia kikawa na game mwenza?Hah wakt anasema ye ndo anapiga gemu mpk unakimbia na pichu kichwani
Ahaaa ok ok... on ma way[emoji126] [emoji126] [emoji126] to mwifwa pmOna sasa unavyolimbikiza ahadi.
Leo uliniahidi tena utanitembelea PM hadi sasa bado sikuoni