Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Ndiyo yeye huyo Mkuu. Ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja, kujieleza na kuuliza maswali ya kufikirisha. Wengi humu walimsifia sana kwa vipaji vyake.

Nilimusoma kwenye Interview ya Max aliyoianzisha King'asti baadae akaachiwa yeye aiendeshe ilikuwa nzuri sana japo maswali wadau waliuliza kabla.

Kwenye mpangilio wa maswali yale na kuvuta umakini wa hadhira ulidhihirisha kitu alichokuwanacho kichwani.

Kuna Mod anaitwa Asha Abdillah au yeye aliukwaa uMod?
 
Kuna mmoja alinifata PM kumbe punga kanitumia mapicha ya wanaume kwa wanaume kibao anataka nikamsukumie mashine NIMEMPOTEZEA ukimkuta kule ktk jukwaa la SIASA utaisi ni mwanaume na strong point..ila ni PUNGA
Hatariii
 
Back
Top Bottom