Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
[emoji23] [emoji23] sasa hawaoni izo avatar ni fake jaman,unakuta mtu kaweka tako la wema lakin anafuatwa hatari,sasa unabak unajiuliza uyu kapenda hil tako la wema au kuna kingine?JF ukiweka id ya mtoto mzuri na Avatar yenye msambwanda kama wa DJ Sepetu aaanh utawavua wengi sana..
kwako nadhani jina ilo ni tamu tamu ata mimi nimelipenda, maana Avatar umeweka viatu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Anafaa kuwa baba ako au unataka babako abaki Nyani Ngabu tu?
Kama anaijua story yako vzuri bas ni kweli una kibamiaMimi aliniambia hachati na mtu mwenye Kibamia ..Nikamuuliza unanijua? Akaanza kunieleza historia yangu ya ukweli toka nazaliwa na nimesoma wapi,jina la mdogo wangu na akamaliza Kwa kusema tuliwahi kuwa wapenzi zaman.Jina hakunitajia na nimegonga mademu wengi sana ila kibamia sina
Naandaa karatasi na daftari kabisa. Usinisahau mieHahaaa. Mie ntajitolea Kaka sababu unapitwa na Vingi.
Sababu Urafiki, undugu, Ukaka, Udada, Uchumba, Uhasama unaunganishwa na PM maana ndio watu wanaanzia huko baadae wanahamia sehemu iliyo salama zaidi nje ya Jf.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] sasa hawaoni izo avatar ni fake jaman,unakuta mtu kaweka tako la wema lakin anafuatwa hatari,sasa unabak unajiuliza uyu kapenda hil tako la wema au kuna kingine?
Kuna connection naona, mtu ana imagine product itakua kama kwenye picha[emoji23] [emoji23] sasa hawaoni izo avatar ni fake jaman,unakuta mtu kaweka tako la wema lakin anafuatwa hatari,sasa unabak unajiuliza uyu kapenda hil tako la wema au kuna kingine?
HahahaKuna connection naona, mtu ana imagine product itakua kama kwenye picha
Nami ntaleta uzi wa wadada waliowahi sumbua wakakaHahaha
Ni hatari sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo mimi waaaaala sihusikNami ntaleta uzi wa wadada waliowahi sumbua wakaka
Wewee wacha manenoo😵Huo mimi waaaaala sihusik
Utancngzia bureWewee wacha manenoo😵
Unaruka hatua saba 😱
Ukahaba ni nini?Hivi unajua unaanza kuniambuikiza hiyo hali..... Kila nikiona notification yako mapigo ya moyo yanaongezeka. ...... unanivuta ujue..... halafu najiona kabisaaa navutika. ......
Kamwe .....uwe na amaniUtancngzia bure
Kalale[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
HahahahaaaaaKama anaijua story yako vzuri bas ni kweli una kibamia
Fanya kunitupia tu kanamba picha yako hata mie sihitaji kwakweli, Nimejiksbidhi kwa Yesu utani na ujinga usio na maana sijihusishi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wewe mondray
Hee sijapata notification mwenza ngoja niwahi[emoji125] [emoji125] nikajua ukewenza umepamba moto umenichuniaMwenza mbona ukapotea tena kule.
Hehee ukinipa cha mbavu nakuja kuanzisha uzi wa kulia hapa sasa kumbe unadhani mimi najipoozaje machungu[emoji23]Yatakayokukuta huko usije ukayamwaga hadharani kama aatu wamavyofanya hapa