Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Wapi Joseverest? He is a real gentleman licha ya kwamba ana umri mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Wapi Joseverest? He is a real gentleman licha ya kwamba ana umri mdogo
Hahahahaha mzigua nakuja pmSema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
thanks[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Basi unajiona mshindi mwenyewe.Niliowafuata Pm
Evelyn Salt huyu anaringa kama anakunya keki hadi akawa hanijibu nikamuuliza yaani hadi mimi
alichonijibu sasa
espy huyu nilifanikiwa
Madame B huyu nilifanikiwa
Mama Sabrina ananijibu kwa mkato
Mzigua90 nahisi mimi ndio ananifungulia thread humu
Sky Eclat huyu anamuachiaga mumewe achati na mimi
miss chagga yaani salamu tu naambiwa nitume hela ya vocha kwanza
nitaendelea
OK sawa Ila Usije ukamkubalia Tena,Pia Tahadhari huyu jamaa anapenda Michezo ile Uliokuwa unafanya zamani!Basi unajiona mshindi mwenyewe.
Ila umesaga vumbi mpaka nimekukubalia.
Mwenza espy sijui yuko wapi muda huu
Long time kwa kweliOK sawa Ila Usije ukamkubalia Tena,Pia Tahadhari huyu jamaa anapenda Michezo ile Uliokuwa unafanya zamani!
Long time Madame B....[emoji17] [emoji6]
Naomba access ya PM yako mkuu![emoji23] [emoji23] [emoji23] pm kuna mambo...kuna watu ni wasumbufu yaani we acha tu. Wapo wale anakuja anakutumia pm ya kwanza kukusalimia ukimjibu meseji ya pili anataka kujua unapatikana wapi, ya tatu anaomba namba ya simu...ukishafika hapo nakupotezea sikujibu tena
Pm yangu mbona hata sijafunga hadi vibaka wanaingiaNaomba access ya PM yako mkuu!
Hahaha Umenichekesha sana sana Aisee....jina langu kwako Pm litakosaje?Long time kwa kweli
Hv katika makabrasha yangu hakuna Pm yako kweli...maana jinalo kama lipo vile.
Ahhhhh..anapenda zoezi la kuny.a kumbe.
Lile sie tunaita sunna, kionjeo tu mchezoni
Mi pia naitamani sana pm yako, sema ndio hivyo......Kuna raha gani sasa huko pm zaidi ya kuja kusalimiwa tu kwa siku hata mara 10 mtu akitoka akija ye salaam tu
Njoo pm nkuelekeze kama bado...Mi naomba tu mtu anielekeze kufunga pm
Mbona sijaifunga ipo wazi kwahiyo itakuwa niniMi pia naitamani sana pm yako, sema ndio hivyo......
Nifungulie mimi Shunie nakuahidi haitakua salamu tuu......
Njoo pm nkuelekeze kama bado...Mi naomba tu mtu anielekeze kufunga pm