Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Mie imenisaidia nilisumbua sana mademu PM kwa kuona na kuvutiwa profile pics zao, Alhamdullah mwaka juzi nikamnasa mmoja na tumepandena sana hivi sasa nimemuengage na Juni namuoa. Long live JF.
 
Mie imenisaidia nilisumbua sana mademu PM kwa kuona na kuvutiwa profile pics zao, Alhamdullah mwaka juzi nikamnasa mmoja na tumepandena sana hivi sasa nimemuengage na Juni namuoa. Long live JF.
Aise embu niambie pm yangu inazingua tunafanyaaje
 
Mm sijui kwa nn pm nanyimwa ushirikiano au tatizo nyota?

Ngoja ntajaribu tena kwa
Shunie
Espy
Ladyfurahia
Emmyta

Nkichemsha na huko naipiga chini pm [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Bora ungekubali matokeo ukajikalia kimya

Matokeo gani?

Hivi unadhani mimi ningekuwa ndo Julius Magembe ningekuwa na jeuri namna hii kama kweli ndo mngekuwa mmeni expose?

Nakwambia utamaliza dunia nzima na hutompata huyo Julius Magembe.

Tena ngoja nikutukane kabisa sasa.....kkmamamaaaako.

Now do something bitch.
 
Back
Top Bottom