Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Hahahahaha mzigua nakuja pm
 
Hiyo ni sababu kuu kwangu inanifanya niigope PM japo mara nyingine najiaminisha kwamba hali hiyo haitakuja kunitokea nikiamini kwamba wale ninaowasiliana nao Hilo hawatalifanya.
Happy Valentine Ngoda95.
Usimuamini mwanamke.

Nimekumiss
 
Basi unajiona mshindi mwenyewe.
Ila umesaga vumbi mpaka nimekukubalia.

Mwenza espy sijui yuko wapi muda huu
 
Basi unajiona mshindi mwenyewe.
Ila umesaga vumbi mpaka nimekukubalia.

Mwenza espy sijui yuko wapi muda huu
OK sawa Ila Usije ukamkubalia Tena,Pia Tahadhari huyu jamaa anapenda Michezo ile Uliokuwa unafanya zamani!
Long time Madame B....[emoji17] [emoji6]
 
OK sawa Ila Usije ukamkubalia Tena,Pia Tahadhari huyu jamaa anapenda Michezo ile Uliokuwa unafanya zamani!
Long time Madame B....[emoji17] [emoji6]
Long time kwa kweli
Hv katika makabrasha yangu hakuna Pm yako kweli...maana jinalo kama lipo vile.
Ahhhhh..anapenda zoezi la kuny.a kumbe.
Lile sie tunaita sunna, kionjeo tu mchezoni
 
Naomba access ya PM yako mkuu!
 
Kuna huyu anaitwa miss nkosozana nimemuibukia Mara kibao ila pm kaiwekea kufuli
 
Long time kwa kweli
Hv katika makabrasha yangu hakuna Pm yako kweli...maana jinalo kama lipo vile.
Ahhhhh..anapenda zoezi la kuny.a kumbe.
Lile sie tunaita sunna, kionjeo tu mchezoni
Hahaha Umenichekesha sana sana Aisee....jina langu kwako Pm litakosaje?
Tangu Kipindi kile tunaenda Ocean road kama JF Kuwatolea misaada,pia Escape1,
Sasa Pm kwako jina LA Monaco linakosaje?
Hahaaa Eti kama Kianzio sunnah
 
Nimeenda Pm ya Watu 3 tuu humu Jf,nilikuwa nawasalimia Tuuu,Ila watuwenyewe hata Kuomba hela hawaombi,wao kimya tuu,Mwanamke lazima Apende pesa bana,mwanamke Asiependa Pesa Akae mbali nami!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…