Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Sas ww ni yupi,ni uyu wa wimbo au huy wa matusi?Yale matusi yalijitype sikukusudia Jolie Jolie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sas ww ni yupi,ni uyu wa wimbo au huy wa matusi?Yale matusi yalijitype sikukusudia Jolie Jolie
Hahaaaa pole mamiiMe kwakweli pm kuna watu ni wasumbufu mnooo yaan mno halaf sana maswali ya kijinga kama police na wanasalimia mnooo yaan kwa siku utasalimiwa hata mara 10
safi sana.Aisee...najiandaa kuokoka, seriously!
ukimpa mtu, watu wenyewe Hawa mazuzu magic kesho utashangaa thread mpya. Nimelala Na mwana Jf fulani Tukuyu yake mbayaaaaaa inanukaaaaaaBora wewe unajua kuna watu wanajua ni rahisi kama kumsukuma mlevi.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]niliingia PM moja hiyooo....unaambiwa no kidhungu no service mpaka leo naziogopa pm
Kumbe mi mstaarabu. Ndo nimejua leoPm yangu imejaa watu wastaarabu tupu. Watu wanaojielewa. Congrats my PM members!
Yaan wewe ebu acha kujishtukia me ndio nilianza kukufata pm mm kwahiyo ningekuwa sitaki nisingekufata bada ya kusema una shida na mm naanzaje kukusema ukiona naongea kuhusu pm ni mambo ya zamani kabla sijaifunga hukoKweli niko serious, jiulize mwenyewe mara ya mwisho nilipitaa lini kusalimia.
kweli kabisaNdio mkuu.
Uzuri wengi wao tukizoeana huku majukwaani inakuwa ni rahisi kuja PM, hamna aliyewahi kuja PM bila kuzoena huku kwanza
Miss you more love. Masharti ya mganga yale sitaki bado najipenda.miss you babe. niache nife lakini manake wewe umekimbia masharti, umekimbia raha wakati wenzako wanaitafuta
Tantee mitoHahaaaa pole mamii
naomba unichumAbeeh Ivuga
HahahahahaaNifundishe namiii
Hahaaa. Haitakaa itokee eti nimuanzishie uzi mtu kisa kaja Pm.We ngoja nitakusumbua unianzishie uzi
Hahahaaa.. tulia tupate ubuyuacheni kufukua makaburi wapendwaa [emoji20][emoji1][emoji1]
Nakuja mpenzi.Kabisa hapo hapo sina kingine
Hakuna kurudi nyuma mkuusafi sana.
uamuzi mzuri demi usirudi nyuma
Itakua ni mwanaume mweny id ya kike[emoji3]mwanamke hawez fanya ivo aseeHivi nyie mwanamke anakuja pm kwako kukutongoza kwa avatar fake
Sana lovie ni mwaminifu sana kwetuAmen my dear! Mungu ni mwema sana!
Anakuja anajibebisha na masifa kibao, mara oh, wewe mkaka mstaarabu sana hahaha, baada ya siku mbili utasiikia anaomba pesa.Hivi nyie mwanamke anakuja pm kwako kukutongoza kwa avatar fake