Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Kuna kaka huyo mstaarabu sana kuna wimbo nliuhitaji akanambia nimpe namba ya wasap antumie na hataitumia hiyo namba tofaut na lengo husika...nashukuru hakunisumbua na alifanya alichokisema...

we kaka popote ulipo agiza soda nakuja kulipa
Ushaelekea kibla, hapo bado kidogo tuu unatafunwa hivi hivi
 
Back
Top Bottom