Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaaa. Kama sijakuelewa Kaka. Wapi huko?Uliamua kubaki dada[emoji13]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa. Kama sijakuelewa Kaka. Wapi huko?Uliamua kubaki dada[emoji13]
[emoji23] [emoji23] sasa mkuu si umeshaniona hapa
We Guna tu Swahiba. Ila ndio hivyo. HahaaaMmmmh
USINIFANYIE HIVYOEndelea kutojua hivyo hivyo.
Hahaha hamna waga wako tuNna waswas una uhusiano na vumbi la congo,nakuogopa
Hahahahaa. Sasa kwanini upanic?Mi nna roho ndogo, ukinitumia PM nitapanic.
mbona wenzako wanayatimiza? Inna yeye anayapenda kabisa acha hizo unapoteza bahati wazi waziMiss you more love. Masharti ya mganga yale sitaki bado najipenda.
Humu kuna watoto wana njaa kama mchwa.Comrade tatizo nini
Auntie yangu mwenyewe hana shida kwenye swala la kushare ana wake wenza wengi sanaAsante Yesu kwa kua mdanganyi ameumbuka[emoji3][emoji3]kumbe kuna auntie af mi nataka kudanganywa iv iv
vizuri, nafurahi nikiona mtu anachukua uamuzi huoo....nahisi raha sana [emoji4][emoji4][emoji4]Hakuna kurudi nyuma mkuu
HahahajHahaha hamna waga wako tu
Asante nitakujaKaribu pm
[emoji1] unamjua nini swahiba [emoji23]
Mwaaaahnaomba unichum
Ushaelekea kibla, hapo bado kidogo tuu unatafunwa hivi hiviKuna kaka huyo mstaarabu sana kuna wimbo nliuhitaji akanambia nimpe namba ya wasap antumie na hataitumia hiyo namba tofaut na lengo husika...nashukuru hakunisumbua na alifanya alichokisema...
we kaka popote ulipo agiza soda nakuja kulipa
Watu wa hivyo ni kuwa puuza tuWengine hawana hata mazoea yoyote,wanajitoa ufahamu tuu mpaka unamzoom umjue ni nani lakini wapi unaona hamjawahi hata kulaikiana....