Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Tuliowahi kuwasumbua mademu PM tukutane hapa

Sema pm kuna mengi. Kuna mtu hata usimpojibu atakuja tena kesho na kesho kutwa. Kuna mmoja huyo alinisalimia siku ya kwanza nikarespond. Baadae nikaacha kumjibu msg zake alichoniandikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Eti bahati yako nilitaka nikutie kama nilivyomtia ......... mpaka akaumwa. Akasema alimtia siku mbili. Nilichekaa hadi nikamjibu tu ili anielezee huyo member walitiana vipi. Akasema we muulize tu anaujia mziki wangu. Pm kuna vichaa wengi sana
aiseeeee hahaaaaa
 
sitasahau kuna dada aliandika anatafuta kampan na mtu wa kujirusha nae...nikajiona mjanja nikaenda pm fasterr...kimbembe yeye yupo dar mimi mkoa mwingine...yeye anakuaga sana bussy ila tulienda ivo ivo mpaka whatsApp...nilichokuja kuharibu niliweka dp inayoonyesha timetable ya UE(university exam) kipindi nipo chuo..
hapo hapo akasema ha date wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]...nikakosa papuchi jamani[emoji3]
hahaaaaa
 
Acha na mm niandike kitu!!

Unanijua nakujua ..tumefanana sana tu na bado nakutafuta lkn niliposafiri kwenda Nairobi na baadae Kampala nilipata ajali nikapoteza cm zote na nyaraka zingine.
.Niliporudi Tanzania nika-renew line na ku-activate kila kilichotakiwa.
Shida kubwa mpaka sasa ni kwamba INBOX YANGU HAIFUNGUKI(Hata sijui kwanini) kwahiyo nashindwa kupata namba zako.
Na bila shaka PM yako umeifunga...nashindwa kukupata ndugu/rafiki na mshirika wangu.

Tafadhali njoo PM tafadhali.
Nina safari ya South Sudan end of this month kama nitajaaliwa so usichelewe ili kabla sijasafiri tukutane as we promised.

Kuingia PM mkakuta mnafanana ni bahati kubwa siprndi kuipoteza wala usipende kupoteza.
 
Kweli lakini wengine wanashindwa kuelewa kule ni kama huku mtaani tu. Kuna mtu mtakua mshkaji mwingine atakua beb mwingine atakua mtoto kaka dada etc na wengine pia huwez kuclick nao. Mwingine akija pm anataka mzoeane wakati wewe unaona kabisa huwezi kumfanya hata kuwa babu yako. Kuna watu wanakuja pm wanachat kishkaji kabisa hamna hata kuombana namba
mimi sijui Nipo kundi lipi hapo ..daahhh buji buji kaleta kizai Zai leo ..
 
Kumbe PM kuna raha eh! Ngoja na mimi nitajaribu siku moja.
 
Back
Top Bottom